sweetlady
JF-Expert Member
- Dec 24, 2010
- 16,947
- 8,409
Nimeamini raha ya upendo ikipotea huwa karaha!
Sikutaraji kama leo hii nitabaki na jeraha!
My number one fun tatizo ni wewe umefanya anitose!
Wakati bado nampenda nafsi imejaa upendo wake!
My number one fun tatizo ni wewe umefanya anitose!
Wakati bado nampenda nafsi imejaa upendo wake!
Sikujua dhamira iliyo kufanya wewe (Vin Diesel) uwe karibu na mimi!
Nafsi inanisuta kwa kumkwaza (nitonye) hana hata raha moyoni!
Alidai anaenda ili atuache mimi na wewe!
Nami sitaki kupoteza "penzi" lake nifanyeje!
He is just my number one fun
He is the one and i love him
He is everything in my life
My dreams depends on him
Bishanga shemeji kipenzi......niombee msamaha kwa mdogo wako nitonye......nakiri makosa na naahidi sitarudia tena......... Kongosho plz busara zako kuhakikisha ndoa yangu na nitts inarudi kwenye mstari zinahitajika sana hapa!
Lovely sister charminglady nawategemea sana wewe pamoja na shemeji C6 ...... Blaki Womani wifi kipenzi napiga magoti mbele yako na mbele ya familia nzima ...... Preta laiti ningesikiliza maneno yenu wewe na Madame B yote haya yasingetokea ..... platozoom najua umejaliwa busara za kutosha nakutegemea kwenye hili......... KARIA nawe pia naamini hutaniangusha ........... Ndahani plz njoo uokoe jahazi............. gfsonwin na snowhite popote mlipo mje kusema chochote hapa........ Catherine uko wapi?.............. Kaizer hebu tumia uzoefu wako najua umeshawahi kuokoa ndoa ya Asprin na mkewe mdogo cacico ............. BADILI TABIA , Yummy na Mr Rocky mwambieni nitonye bado nampenda sana ila shetani alinipitia!
AshaDii na mke mwenza King'asti tuliapa kuwa pamoja hivyo naamini tuko pamoja kwenye hili pia ....... Mentor maombi yako yanahitajika ! Remmy na PakaJimmy mkiona mwenzenu ananyolewa zenu mzitie maji .....afu msipende kuchekelea matatizo ya mwenzenu!
Erickb52 , BAGAH, Judgement , ruttashobolwa na Mtalingolo nyie nawatuma mwende mkamwambie Vin Diesel kuanzia leo simtaki na nimeamua kurudi kwa mume kipenzi nitonye......mwanetu anahitaji malezi ya baba na mama.
nitonye popote ulipo nahitaji msamaha wako.... naahidi kuwa mke mwema zaidi ya nilivyokuwa zamani......nimejifunza mengi na nayajutia sana makosa yangu......plz nipe nafasi nyingine ya mwisho na hutoujutia msamaha utakaonipa!
Wapendwa wote wa chit chat nisaidieni kuomba msamaha.......ambao sijawataja hapa mtanisamehe manake kwa jinsi nilivyochanganyikiwa siwezi kumkumbuka kila mmoja wenu humu ila naamini chit chat wote ni familia moja na tuliapa kusaidiana kwa shida na raha pia kwa hali na mali.....mie hapa nahitaji msaada wa hali tu.
Sikutaraji kama leo hii nitabaki na jeraha!
My number one fun tatizo ni wewe umefanya anitose!
Wakati bado nampenda nafsi imejaa upendo wake!
My number one fun tatizo ni wewe umefanya anitose!
Wakati bado nampenda nafsi imejaa upendo wake!
Sikujua dhamira iliyo kufanya wewe (Vin Diesel) uwe karibu na mimi!
Nafsi inanisuta kwa kumkwaza (nitonye) hana hata raha moyoni!
Alidai anaenda ili atuache mimi na wewe!
Nami sitaki kupoteza "penzi" lake nifanyeje!
He is just my number one fun
He is the one and i love him
He is everything in my life
My dreams depends on him
Bishanga shemeji kipenzi......niombee msamaha kwa mdogo wako nitonye......nakiri makosa na naahidi sitarudia tena......... Kongosho plz busara zako kuhakikisha ndoa yangu na nitts inarudi kwenye mstari zinahitajika sana hapa!
Lovely sister charminglady nawategemea sana wewe pamoja na shemeji C6 ...... Blaki Womani wifi kipenzi napiga magoti mbele yako na mbele ya familia nzima ...... Preta laiti ningesikiliza maneno yenu wewe na Madame B yote haya yasingetokea ..... platozoom najua umejaliwa busara za kutosha nakutegemea kwenye hili......... KARIA nawe pia naamini hutaniangusha ........... Ndahani plz njoo uokoe jahazi............. gfsonwin na snowhite popote mlipo mje kusema chochote hapa........ Catherine uko wapi?.............. Kaizer hebu tumia uzoefu wako najua umeshawahi kuokoa ndoa ya Asprin na mkewe mdogo cacico ............. BADILI TABIA , Yummy na Mr Rocky mwambieni nitonye bado nampenda sana ila shetani alinipitia!
AshaDii na mke mwenza King'asti tuliapa kuwa pamoja hivyo naamini tuko pamoja kwenye hili pia ....... Mentor maombi yako yanahitajika ! Remmy na PakaJimmy mkiona mwenzenu ananyolewa zenu mzitie maji .....afu msipende kuchekelea matatizo ya mwenzenu!
Erickb52 , BAGAH, Judgement , ruttashobolwa na Mtalingolo nyie nawatuma mwende mkamwambie Vin Diesel kuanzia leo simtaki na nimeamua kurudi kwa mume kipenzi nitonye......mwanetu anahitaji malezi ya baba na mama.
nitonye popote ulipo nahitaji msamaha wako.... naahidi kuwa mke mwema zaidi ya nilivyokuwa zamani......nimejifunza mengi na nayajutia sana makosa yangu......plz nipe nafasi nyingine ya mwisho na hutoujutia msamaha utakaonipa!
Wapendwa wote wa chit chat nisaidieni kuomba msamaha.......ambao sijawataja hapa mtanisamehe manake kwa jinsi nilivyochanganyikiwa siwezi kumkumbuka kila mmoja wenu humu ila naamini chit chat wote ni familia moja na tuliapa kusaidiana kwa shida na raha pia kwa hali na mali.....mie hapa nahitaji msaada wa hali tu.
Last edited by a moderator: