Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 21,838
- 38,729
Jela ya Chatto na KolomijeHivi Huu Ujinga wa Kusema Nchi imefunguliwa iliwekwa Jela gani??? Acheni Uhuni msituone sisi malofa nyie...
Jela ya Chatto na KolomijeHivi Huu Ujinga wa Kusema Nchi imefunguliwa iliwekwa Jela gani??? Acheni Uhuni msituone sisi malofa nyie...
Naomba Zito aje na cost benefit analysis ya matumizi ya Gas. Nani anamiliki gas, anatuuzia bei gani, gharama ya kuzalisha kWh 1 ni shs ngapi, na zaidi atueleze nani anamiliki mitambo ya kuzalisha umeme aliyoitaja. Kama si mitambo ya serikali, basi atueleze tanesco watalipa shs ngapi kwa kwh na wao watauza shs ngapi kwa mtumiaji/mteja. Na zaidi namwomba aeleze hapa jinsi songas inavyolipwa na Tanesco.By Zitto kupitia twitter:
Mradi wa 300MW Mtwara ulisimama. Mradi wa 350MW Kilwa ulisimama. Mradi wa nyongeza Kinyerezi 185MW ulisimama. Mradi wa Kinyerezi 3 and 4 umesimama. Utapata wapi Umeme kulisha nyongeza ya shughuli za Uchumi baada kufungua Nchi?
Miradi yote ya Umeme iliyokuwa kwenye power system master plan ilisimama kupeleka hela kwenye Stigler’s gorge ambayo wataalamu wote walituambia itachukua Miaka 7 kukamilika 100%.Lakini Kwa kuwa Sisi ni Watu wa kukubali uongo na propaganda tukaamini. Leo tunaambiwa delays tunawaka.
Siamini kuna hujuma. Ninaamini ni mambo ya kisera na madhara ya Miaka 5 unusu ya incompetence katika uendeshaji wa Uchumi. Tulidanganywa na tukaamini uongo huo. Sasa tunatumia uongo ule kuwapima wenye Mamlaka sasa. NCHI HAINA UMEME WA KUTOSHA. Hatujaongeza Hata 1MW kwa Miaka 5
Acha story mingi, nimekuomba uthibitishe kauli zako kuhusu kutawaliwa miaka 99 kutokana na Bandari and Kikwete kupewa 10% ya gas!! Mbona unazunguka zunguka sana???Bora mara Mia tunge ingia makubaliano ya ujenz wa bandari na mabeberu kuliko wa China Una wajua wachina wewe watatujengea libandari lao watalitumia miaka 99 wakija kutuachia halifai tena kwa matumizi itabid serikal iingie galama za ujenz upya, alafu Wachina Wana njaa na wadokozi wa vitu vidogo vidogo tofauti na wazungu, Mim nimefanya kazi na Wachina nawajua vizur sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Inaendelea kwa plan/speed ile ile aliyoacha mtangulizi wake?hahahah mkuu mbona mwendokasi inaendelea na sasa imefika asilimia 40? hebu punguzeni uongo bhana.....au wewe unaishi wapi ? umepita mawasiliano au umepita kariakoo na mbagala? au sio mradi wa mwendokasi ule? hahahaha
Ukisoma tweet za makamba utagundua anamponda maguHao wanaomtupia lawama Magu ni wajinga pia, Magu ameshakufa, ni kuachana naye, tulio hai tusonge mbele, harudi tena! Na nyie mnaopambana kumtetea Marehemu as if yupo hai mnakosea pia, Mnapotaka kumgeuza Magu kuwa SI UNIT ya kutawala nchi hii mnakosea zaidi, hakuwa perfect!! Kinachoshangaza ni nyie wapambe kushupalia haya mambo, Sijawahi kumsikia Samia hata siku moja akimuongelea vibaya Magu, zaidi ya kummwagia sifa!! Siku Samia akiongea chochote kibaya kuhusu aliyekuwa bosi wake hapo mnaweza kuja juu na kutoa mapovu
Ni tafsiri yako tu Chief, Makamba hajawahi kumponda wala kumtukana Magu! Ile ishu yake na Magu alikuwa anajitahidi kulinda legacy ya Baba yake kutokana na matusi ya Musiba..Tuwekee Tweet moja hapa anayomponda MaguUkisoma tweet za makamba utagundua anamponda magu
huelewi tatizo, akili hazipo sawasawa kichwani.By Zitto kupitia twitter:
Mradi wa 300MW Mtwara ulisimama. Mradi wa 350MW Kilwa ulisimama. Mradi wa nyongeza Kinyerezi 185MW ulisimama. Mradi wa Kinyerezi 3 and 4 umesimama. Utapata wapi Umeme kulisha nyongeza ya shughuli za Uchumi baada kufungua Nchi?
Miradi yote ya Umeme iliyokuwa kwenye power system master plan ilisimama kupeleka hela kwenye Stigler’s gorge ambayo wataalamu wote walituambia itachukua Miaka 7 kukamilika 100%.Lakini Kwa kuwa Sisi ni Watu wa kukubali uongo na propaganda tukaamini. Leo tunaambiwa delays tunawaka.
Siamini kuna hujuma. Ninaamini ni mambo ya kisera na madhara ya Miaka 5 unusu ya incompetence katika uendeshaji wa Uchumi. Tulidanganywa na tukaamini uongo huo. Sasa tunatumia uongo ule kuwapima wenye Mamlaka sasa. NCHI HAINA UMEME WA KUTOSHA. Hatujaongeza Hata 1MW kwa Miaka 5
hamjielewagi wanasiasa wengi wa tanzania. CCM itaendelea kuwatala milele yote kama misimamo yenu yenyewe haielewekiMnataka kutuambia wakati wa Magufuli umeme ulikuwa haukatiki?
Nani angethubutu kutangaza mgao?
Wewe unaongelea gharama wakati shida ni maji ya kulijaza hilo bwawa kwa wakati wote ndiyo shida.Umeme wa maji ni lazima utegemee mito.Sasa kama mito yenyewe inajaa na kupwa na hivyo kupelekea bwawa kujaa na wakati mwingine kupungua ujazo hitajika,utasemaje ndiyo mkombozi pekee?.View attachment 2015658
Zitto ni mtu ambae anatafuta information na kujenga premise uchwara anazotaka yeye.
TANESCO long term plan yao ya umeme inapatikana kwenye link hapo juu na kwenye pipeline kuna renewables, hydropower (stigler gorge is also mentioned), gas and coal. Hakuna priorities ya kipi kianze.
Yeye anachukua source moja na kujengea hoja kama makosa with very simple arguments, watu kama hao wakimpata mtu anaefahamu maswala ya energy kuwa expose limitations zao ni rahisi sana.
Ukiangalia tu ivyo vyanzo vyote vya gas gharama yake inafika $2.9 billion umeme ni megawatts 2500.
Bwawa la Nyerere gharama $2.9 billion umeme megawatts 2115.
Bwawa la Nyerere lina cheap unit costs.
More safe maana bomba la gas lina line moja tu hakuna back. Likichezewa nchi nzima aina umeme na tayari over 64% ya umeme wetu unatokana na Gas kuongeza tena hiyo sio hatua nzuri ya kumitigate energy security risks.
Ukishatengeneza vyanzo inabidi uajiri na kuna gharama za matunzo. Bwawa la Nyerere linaondoa operation costs za plant kama nne hivi za kujenga gas plants.
Vitu vingine ata kuandika shida, I tell you kule Twitter ni kikundi cha wapuuzi tu huwa wanaandika vitu ambavyo awajawahi kuvifanyia research na kuviandikia report katika maisha yao; yaani ni ujinga mtupu.
Mkuu!Watu wa walishavurugwa na kuondokewa na .Hivi nyie watu wakati huo mlikuwa mnaishi Tanzania au ndo ile ya kusifia kila kitu?
Hebu tuangalie kwa kwa haraka haraka tukianza na mdau kutoka Arusha...
View attachment 2015661
Fuatilia huo uzi uone watu walivyokuwa wanalalamika kuhusu umeme, tena February!!
Nyuzi nyingine....
1. Kuna mgao wa umeme wa kimya kimya December 05, 2020
2. Mgao mkali wa umeme Morogoro mjini - December 21, 2020
3. Wilaya ya Ubungo kuna mgao wa umeme? Mpaka sasa hakuna umeme March 01, 2021
4. TANESCO tutangazieni kama kuna mgao wa umeme nchini March 04, 2021
Hayo ni malalamiko yaliyotokea sehemu mbalimbali za nchi ndani ya miezi 3 TU!!!
Awamu hii ndiyo inamiezi 8 tu.Alafu unasema imefeli na wakati huohuo kwa mara ya kwanza ndani ya miaka 10 ni mwaka huu joto limepanda kuliko miaka yote 10 iliyopita na huku mvua pia zikichelewa kuanza kunyesha.Sasa kwa nini maji yasipungue mabwawani?.Kususiwa na miradi ya gas kwa wivu na ubinafsi ndiyo sababu ya kukosa njia mbadala.Acheni kuhamisha magoli.......awamu hii imeshafeli kwenye suala la umeme na maji. Watanzania sio wajinga.
Mkuu hata kama una mapenzi na marehemu lakini kama hukuona hata mgao wa umeme tena mwaka huu huu kabla marehemu hajafa basi wewe utakua kilaza.Mbona umeme haukukatika?
Naomba uniambie sustainability ya hilo itakuaje maana hadi sasa kuna mabadiliko makubwa ya hali ya hewa, hapo dsm tu mpaka sasa kuna mgao, mito haji hakuna!!View attachment 2015658
Zitto ni mtu ambae anatafuta information na kujenga premise uchwara anazotaka yeye.
TANESCO long term plan yao ya umeme inapatikana kwenye link hapo juu na kwenye pipeline kuna renewables, hydropower (stigler gorge is also mentioned), gas and coal. Hakuna priorities ya kipi kianze.
Yeye anachukua source moja na kujengea hoja kama makosa with very simple arguments, watu kama hao wakimpata mtu anaefahamu maswala ya energy kuwa expose limitations zao ni rahisi sana.
Ukiangalia tu ivyo vyanzo vyote vya gas gharama yake inafika $2.9 billion umeme ni megawatts 2500.
Bwawa la Nyerere gharama $2.9 billion umeme megawatts 2115.
Bwawa la Nyerere lina cheap unit costs.
More safe maana bomba la gas lina line moja tu hakuna back. Likichezewa nchi nzima aina umeme na tayari over 64% ya umeme wetu unatokana na Gas kuongeza tena hiyo sio hatua nzuri ya kumitigate energy security risks.
Ukishatengeneza vyanzo inabidi uajiri na kuna gharama za matunzo. Bwawa la Nyerere linaondoa operation costs za plant kama nne hivi za kujenga gas plants.
Vitu vingine ata kuandika shida, I tell you kule Twitter ni kikundi cha wapuuzi tu huwa wanaandika vitu ambavyo awajawahi kuvifanyia research na kuviandikia report katika maisha yao; yaani ni ujinga mtupu.
Hata wenzake wote hawawezi kukupa jibu. Wakati wa Nabii Walwa Njozi ungishatumiwa wasiojulikana.Naomba orodha ya shughuli za kiuchumi zilizofunguliwa kisha zikasababisha upungufu mkubwa wa umeme. Orodha hiyo iambatane na kiwango cha mahitaji ya umeme yasiyotiliwa mashaka kwa kila shughuli.
Karibu.
Ni natokeo ya ukaidiKupungua kwa umeme ni mipango ya Mungu - Samia