The Inquisitive
Senior Member
- Oct 27, 2010
- 177
- 29
Mimi ni kijana,nina mpenzi ,huyu mpenzi wangu kila tunapokutana in bed nakuwa sina hata raha ya tendo kwani uke unatoa harufu mbaya mno..unakuta mnaanza oral sex mkimaliza mkianza kuchojoana ndo tatizo linapoanza..
Nina imani ili tatizo yeye pia analifahamu kwani tukimaliza tendo raund one huwa anakosa raha kabisa nna imani analifahamu tatizo...
Mimi naogopa hata kumuambia maana nahisi atajisikia vibaya..Ningependa kujua dawa yake ni ipi? au hajisafishi vizuri..
Kama unamuona anajihisi vibaya vibaya basi kwa mwanamke atakuwa ameshafanya mbinu zote za kujiweka katika hali ya usafi lakini imeshindikana. Inawezakana kabisa huyo ana ugonjwa za zinaa. Usiogope kumuuliza kwani nawe unajiweka katika hatari ya kuambukizwa. Ongea naye taratibu muende hospitali mkapime wote pamoja. Pole.