Tatizo la serikali hii ya Awamu ya Sita si wateule bali ni Mteuzi na Mwapishaji

The Burning Spear

JF-Expert Member
Dec 23, 2011
3,445
8,299
Ifike mahali sasa tuache kuzunguka mbuyu samia kwa sasa anatakiwa awajibike kwa kila ovu au zuri linaloikumba nchi yetu.

Kwa sasa tunasema she is responsible for everything tuache kusingizia mawaziri anaowateua.

Kama ni kuunda serikali mda umepita ana zaidi ya miaka miwili sasa. Kama. Ingekuwa ni kazini tungesema probation period imeshapita ni muda wa kudeliver sasa.

Ni ukweli usiopingika wateule walio wemgi hawana shida yoyote kubwa maana wengine walikuwepo hata awamu ya tano ila performance yao ya sasa ni bovu sana. Raisi ndo mzembe wa mambo anachilia mipango inaende hovyohovyo hasa kwa kukosa maamuzi sahihi lwa wakati sahihi.
.
Hata kama atabadilisha baraza la mawaziri kila siku. Kama yeye hatabadilika hatutaweza kuona Tofauti yoyote. Inshort anayemkwamisha samia na watanzania kwa sasa ni Samia mwenyewe yeye ndo wa kubadilishwa tuache kupaka rangi upepo.
 
Uko sahihi, Shida iko kwa Rais na sio wateule kama chawa wake wanavyotaka kutuaminisha. Alipoingia akatoa wote wachapa kazi akaweka chawa wake,sasa nani tatizo?Wakisharibu anaziba masikio na akiona vipi anawahamisha wizara au vitengo.Tuna tatizo la Umeme,huku kwetu kupata umeme siku nzima ni muujiza, mafuta ndio hayo watu wanajipangia bei tu.Viongozi jama Majaliwa walitumiwa vizuri sana na Magufuli na kazi tuliiona lakini ye anasema ana majukumu mengi so apewe naibu.Mtu kama Makamba alikua wa kupigwa chini toka kitambo lakini anakumbatiwa hadi kupewa wizara ya kigeni. Chawa wake wana mtindio wa ubongo,jambo zuri utasikia mama anaupiga mwingi, hapa husikii habari za wasaidizi au washauri wake.Jambo baya wanakuja na ujinga wa Rais ana nia nzuri sema washauri wake mara wasaidizi wanamwangusha.
 
Ifike mahali sasa tuache kuzunguka mbuyu samia kwa sasa anatakiwa awajibike kwa kila ovu au zuri linaloikumba nchi yetu.

Kwa sasa tunasema she is responsible for everything tuache kusingizia mawaziri anaowateua.

Kama ni kuunda serikali mda umepita ana zaidi ya miaka miwili sasa. Kama. Ingekuwa ni kazini tungesema probation period imeshapita ni muda wa kudeliver sasa.

Ni ukweli usiopingika wateule walio wemgi hawana shida yoyote kubwa maana wengine walikuwepo hata awamu ya tano ila performance yao ya sasa ni bovu sana. Raisi ndo mzembe wa mambo anachilia mipango inaende hovyohovyo hasa kwa kukosa maamuzi sahihi lwa wakati sahihi.
.
Hata kama atabadilisha baraza la mawaziri kila siku. Kama yeye hatabadilika hatutaweza kuona Tofauti yoyote. Inshort anayemkwamisha samia na watanzania kwa sasa ni Samia mwenyewe yeye ndo wa kubadilishwa tuache kupaka rangi upepo.
Mama anaamini kuwa anao wateua wanatakiwa wajiongoze wenyewe na sio kusimamiwa kwa style hiyo atabadili baraza mara 10000 na bado mambo yatakuwa yale yale
 
Ifike mahali sasa tuache kuzunguka mbuyu samia kwa sasa anatakiwa awajibike kwa kila ovu au zuri linaloikumba nchi yetu.

Kwa sasa tunasema she is responsible for everything tuache kusingizia mawaziri anaowateua.

Kama ni kuunda serikali mda umepita ana zaidi ya miaka miwili sasa. Kama. Ingekuwa ni kazini tungesema probation period imeshapita ni muda wa kudeliver sasa.

Ni ukweli usiopingika wateule walio wemgi hawana shida yoyote kubwa maana wengine walikuwepo hata awamu ya tano ila performance yao ya sasa ni bovu sana. Raisi ndo mzembe wa mambo anachilia mipango inaende hovyohovyo hasa kwa kukosa maamuzi sahihi lwa wakati sahihi.
.
Hata kama atabadilisha baraza la mawaziri kila siku. Kama yeye hatabadilika hatutaweza kuona Tofauti yoyote. Inshort anayemkwamisha samia na watanzania kwa sasa ni Samia mwenyewe yeye ndo wa kubadilishwa tuache kupaka rangi upepo.
Haijui jiografia ya hii nchi na Wahuni wa CCM wamesha mzidi kete!
 
Ifike mahali sasa tuache kuzunguka mbuyu samia kwa sasa anatakiwa awajibike kwa kila ovu au zuri linaloikumba nchi yetu.

Kwa sasa tunasema she is responsible for everything tuache kusingizia mawaziri anaowateua.

Kama ni kuunda serikali mda umepita ana zaidi ya miaka miwili sasa. Kama. Ingekuwa ni kazini tungesema probation period imeshapita ni muda wa kudeliver sasa.

Ni ukweli usiopingika wateule walio wemgi hawana shida yoyote kubwa maana wengine walikuwepo hata awamu ya tano ila performance yao ya sasa ni bovu sana. Raisi ndo mzembe wa mambo anachilia mipango inaende hovyohovyo hasa kwa kukosa maamuzi sahihi lwa wakati sahihi.
.
Hata kama atabadilisha baraza la mawaziri kila siku. Kama yeye hatabadilika hatutaweza kuona Tofauti yoyote. Inshort anayemkwamisha samia na watanzania kwa sasa ni Samia mwenyewe yeye ndo wa kubadilishwa tuache kupaka rangi upepo.
Tatizo ni CCM
Usimbananishe Hangaya ambaye ni zao la chama cha majizi.


Yupo pale kama boshen tu. Watu wanapiga mambo kama hawahusiki vile
 
Uko sahihi, Shida iko kwa Rais na sio wateule kama chawa wake wanavyotaka kutuaminisha. Alipoingia akatoa wote wachapa kazi akaweka chawa wake,sasa nani tatizo?Wakisharibu anaziba masikio na akiona vipi anawahamisha wizara au vitengo.Tuna tatizo la Umeme,huku kwetu kupata umeme siku nzima ni muujiza, mafuta ndio hayo watu wanajipangia bei tu.Viongozi jama Majaliwa walitumiwa vizuri sana na Magufuli na kazi tuliiona lakini ye anasema ana majukumu mengi so apewe naibu.Mtu kama Makamba alikua wa kupigwa chini toka kitambo lakini anakumbatiwa hadi kupewa wizara ya kigeni. Chawa wake wana mtindio wa ubongo,jambo zuri utasikia mama anaupiga mwingi, hapa husikii habari za wasaidizi au washauri wake.Jambo baya wanakuja na ujinga wa Rais ana nia nzuri sema washauri wake mara wasaidizi wanamwangusha.
Hapo kwa majaliwa ndo
inasikitisha kwa kweli
 
Mambo Ninayo amini ambayo tumekosea kumpa mzanzibar atuongoze ni.
1. Wakristo wana akili kuliko binadamu wengine wote
2. Watanganyika wana akili kuliko Wazanzibar
3. Wazanzibar wanapenda kuuzwa utumwani kuliko kuwa huru.
4. Waislamu wa Bara Wana akili kuliko wa Zanzibar
5. Wazanzibar hawawapendi wabara kwakuwa wanawazidi akili na udtaarabu. Nimakosa kwa wakristo, waislamu na wabara wote kukubali kuongozwa na muislamu wa Zanzibar tena mwanamama ambaye hata kikao Cha familia hana kiti Cha kukalia.
Mungu atatuadhibu kupitia huu ujinga anaoufanya.
 
Ifike mahali sasa tuache kuzunguka mbuyu samia kwa sasa anatakiwa awajibike kwa kila ovu au zuri linaloikumba nchi yetu.

Kwa sasa tunasema she is responsible for everything tuache kusingizia mawaziri anaowateua.

Kama ni kuunda serikali mda umepita ana zaidi ya miaka miwili sasa. Kama. Ingekuwa ni kazini tungesema probation period imeshapita ni muda wa kudeliver sasa.

Ni ukweli usiopingika wateule walio wemgi hawana shida yoyote kubwa maana wengine walikuwepo hata awamu ya tano ila performance yao ya sasa ni bovu sana. Raisi ndo mzembe wa mambo anachilia mipango inaende hovyohovyo hasa kwa kukosa maamuzi sahihi lwa wakati sahihi.
.
Hata kama atabadilisha baraza la mawaziri kila siku. Kama yeye hatabadilika hatutaweza kuona Tofauti yoyote. Inshort anayemkwamisha samia na watanzania kwa sasa ni Samia mwenyewe yeye ndo wa kubadilishwa tuache kupaka rangi upepo.
SAMIA SULUHU HASSAN hayuko serious unategemea anaowaapisha watakua serious?
 
Ifike mahali sasa tuache kuzunguka mbuyu samia kwa sasa anatakiwa awajibike kwa kila ovu au zuri linaloikumba nchi yetu.

Kwa sasa tunasema she is responsible for everything tuache kusingizia mawaziri anaowateua.

Kama ni kuunda serikali mda umepita ana zaidi ya miaka miwili sasa. Kama. Ingekuwa ni kazini tungesema probation period imeshapita ni muda wa kudeliver sasa.

Ni ukweli usiopingika wateule walio wemgi hawana shida yoyote kubwa maana wengine walikuwepo hata awamu ya tano ila performance yao ya sasa ni bovu sana. Raisi ndo mzembe wa mambo anachilia mipango inaende hovyohovyo hasa kwa kukosa maamuzi sahihi lwa wakati sahihi.
.
Hata kama atabadilisha baraza la mawaziri kila siku. Kama yeye hatabadilika hatutaweza kuona Tofauti yoyote. Inshort anayemkwamisha samia na watanzania kwa sasa ni Samia mwenyewe yeye ndo wa kubadilishwa tuache kupaka rangi upepo.
Kuongoza nchi baba sio sawa na kucheza dance,au kucheza mdundiko ukitaka kujua kwamba huyu mama SAMIA sio serious angalia wanaoteuliwa utapata majibu wala huitaji kucholewa michoro ili uelewe.tazama wanaoitwa wakuu wa mikoa,angalia mawaziri ni ishara tosha kwamba this person is totally not serious ndio maana nchi zenye wanajeshi wenye akili timamu kama Burkinafaso,Niger ,Mali na Central Africa wameamua kuwafurusha mbali viongozi wa kisiasa wapumbavu,wajinga na wasiojielewa. nchi ya Tanzania inahitaji mtu mwenye kuijua nchi hii vzr,huyu mama anadhihirisha kabisa kwamba ni mgeni kabisa ktk kuifahamu nchi hii ndio maana mambo yanaenda hovyo hovyo kabisa na wala hajali na wakati mwingine anasema bila hata AIBU eti nimeamua kukaa kimya anadhani ni sifa Hv ukiijua hii nchi unaweza kukaa kimya kweli kwa aina ya mawaziri,na hawa wakuu wa mikoa na wilaya tulionao.Very poor president.Angalia bei ya mafuta inavyotesa watanzania,watu wanaficha mafuta na wanafanya watakavyo uchumi unayumba, benki kuu haina hata dola Rais amekaa kimya eti nayo ni sifa,ukilala ukiamka unajiona ww unastahili kuendelea kuongoza nchi hii kweli.RAIS SAMIA ANAPASWA KUJITAFAKARI KAMA KWELI NCHII HII INAMTOSHA.
 
Ifike mahali sasa tuache kuzunguka mbuyu samia kwa sasa anatakiwa awajibike kwa kila ovu au zuri linaloikumba nchi yetu.

Kwa sasa tunasema she is responsible for everything tuache kusingizia mawaziri anaowateua.

Kama ni kuunda serikali mda umepita ana zaidi ya miaka miwili sasa. Kama. Ingekuwa ni kazini tungesema probation period imeshapita ni muda wa kudeliver sasa.

Ni ukweli usiopingika wateule walio wemgi hawana shida yoyote kubwa maana wengine walikuwepo hata awamu ya tano ila performance yao ya sasa ni bovu sana. Raisi ndo mzembe wa mambo anachilia mipango inaende hovyohovyo hasa kwa kukosa maamuzi sahihi lwa wakati sahihi.
.
Hata kama atabadilisha baraza la mawaziri kila siku. Kama yeye hatabadilika hatutaweza kuona Tofauti yoyote. Inshort anayemkwamisha samia na watanzania kwa sasa ni Samia mwenyewe yeye ndo wa kubadilishwa tuache kupaka rangi upepo.
Awamu hii " Ndumbaro" wako 3. Kama Ile ya kina Kikazi.
Ifike mahali sasa tuache kuzunguka mbuyu samia kwa sasa anatakiwa awajibike kwa kila ovu au zuri linaloikumba nchi yetu.

Kwa sasa tunasema she is responsible for everything tuache kusingizia mawaziri anaowateua.

Kama ni kuunda serikali mda umepita ana zaidi ya miaka miwili sasa. Kama. Ingekuwa ni kazini tungesema probation period imeshapita ni muda wa kudeliver sasa.

Ni ukweli usiopingika wateule walio wemgi hawana shida yoyote kubwa maana wengine walikuwepo hata awamu ya tano ila performance yao ya sasa ni bovu sana. Raisi ndo mzembe wa mambo anachilia mipango inaende hovyohovyo hasa kwa kukosa maamuzi sahihi lwa wakati sahihi.
.
Hata kama atabadilisha baraza la mawaziri kila siku. Kama yeye hatabadilika hatutaweza kuona Tofauti yoyote. Inshort anayemkwamisha samia na watanzania kwa sasa ni Samia mwenyewe yeye ndo wa kubadilishwa tuache kupaka rangi upepo.
Enzi ya kina Ndumbaro. Wako 3. Hivi hakuna Familia zingine zenye uhitaji WA Uongozi?
 
Back
Top Bottom