Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 56,530
- 93,109
Hivi haiwezekani kutumia teknolojia ya maji taka yote kwenye vyoo vyetu kwenye majiji yetu Yale maji taka yarudi kwenye mzunguko kwa kuyatreat ili yawe maji safi na Salama?
Kuna nchi moja nilitembelea ughaibuni mwenyeji wangu aliniambia wanatumia system hii ila sikumtilia maanani nilikuwa interested na mambo mengine kabisa, tena wao walivyo serious maji yao ya bomba hauchemshi ukichota bombani unakunywa ni safi na Salama kwa asimia 100.
Je, ni kweli teknolojia hii ipo? Na kama ipo tunasubili nini?
Kuna nchi moja nilitembelea ughaibuni mwenyeji wangu aliniambia wanatumia system hii ila sikumtilia maanani nilikuwa interested na mambo mengine kabisa, tena wao walivyo serious maji yao ya bomba hauchemshi ukichota bombani unakunywa ni safi na Salama kwa asimia 100.
Je, ni kweli teknolojia hii ipo? Na kama ipo tunasubili nini?