DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 31,636
- 81,533
Lema alikuwa hana sababu ya kuongea kuhusu Mbowe .
Ikiwa mtu hayupo upande wenu Ila nyie mnasapotiwa na mamilion ya watu ambao wanawasikiliza , na kutoa sapoti zao sasa Mbowe yeye ni nani ?.
Nafikiri mtaji mkubwa katika siasa ni watu .
Ukizungumzia mapito msijifikirie nyie Ila mjue kuna watu walikufa, wakawa walemavu n.k kisa Chadema aliwahi kuongea Lissu hili jambo.
Binafsi naona alichoongea Lema ni kumkuza huyo Mbowe nakuonekana yeye ni mkubwa kukizidi Chama.
Mkiendelea hivi tutabaki na Lissu .
Huu sio muda wa Ku-involve watu ambao hawakupendi katika struggle.
Ikiwa mtu hayupo upande wenu Ila nyie mnasapotiwa na mamilion ya watu ambao wanawasikiliza , na kutoa sapoti zao sasa Mbowe yeye ni nani ?.
Nafikiri mtaji mkubwa katika siasa ni watu .
Ukizungumzia mapito msijifikirie nyie Ila mjue kuna watu walikufa, wakawa walemavu n.k kisa Chadema aliwahi kuongea Lissu hili jambo.
Binafsi naona alichoongea Lema ni kumkuza huyo Mbowe nakuonekana yeye ni mkubwa kukizidi Chama.
Mkiendelea hivi tutabaki na Lissu .
Huu sio muda wa Ku-involve watu ambao hawakupendi katika struggle.