Tatizo la ajira: Sekta binafsi inatumia upepo wa "Volunteering" na "Internship"

Quartz360

Senior Member
Mar 27, 2023
124
301
Tatizo la ukosefu wa ajira limekuwa ni kilio kwa vijana walio wengi, ambapo takwimu zinaonyesha kuwa ni asilimia kumi 10% tu ya wahitimu huweza kupata ajira rasmi kila mwaka. Huku asilimia 90% wakibaki bila ajira rasmi.

Tatizo hilo limeibua fursa kwa upande wa makampuni, Biashara binafsi, NGOs na mashirika. Ambapo kwa kiasi kikubwa wamekuwa hawatoi ajira tena badala yake wanatembea na kile wanachokiita VOLUNTEERING na INTERNSHIPS. Kwa malipo kiduchu ama hakuna kabisa ukilinganisha na kazi wanazofanya vijana hao. Na hilo limefanya vijana wengi wasiwe na chaguo, badala yake wanaona ni bora wakafanye hizo Internships ama kujitolea ili tu siku ziende kwa kuwa ajira imekuwa ni kilio cha taifa.

Mbaya zaidi waajiri wao pia wamekuwa na kiburi kwa sababu vijana wako wengi mtaani, anaweza kukufukuza leo, kesho akapata mwingine.

Very Sad.
 
Tatizo la ukosefu wa ajira limekuwa ni kilio kwa vijana walio wengi, ambapo takwimu zinaonyesha kuwa ni asilimia kumi 10% tu ya wahitimu huweza kupata ajira rasmi kila mwaka. Huku asilimia 90% wakibaki bila ajira rasmi.

Tatizo hilo limeibua fursa kwa upande wa makampuni, Biashara binafsi, NGOs na mashirika. Ambapo kwa kiasi kikubwa wamekuwa hawatoi ajira tena badala yake wanatembea na kile wanachokiita VOLUNTEERING na INTERNSHIPS. Kwa malipo kiduchu ama hakuna kabisa ukilinganisha na kazi wanazofanya vijana hao. Na hilo limefanya vijana wengi wasiwe na chaguo, badala yake wanaona ni bora wakafanye hizo Internships ama kujitolea ili tu siku ziende kwa kuwa ajira imekuwa ni kilio cha taifa.

Mbaya zaidi waajiri wao pia wamekuwa na kiburi kwa sababu vijana wako wengi mtaani, anaweza kukufukuza leo, kesho akapata mwingine.

Very Sad.
 
Tatizo la ukosefu wa ajira limekuwa ni kilio kwa vijana walio wengi, ambapo takwimu zinaonyesha kuwa ni asilimia kumi 10% tu ya wahitimu huweza kupata ajira rasmi kila mwaka. Huku asilimia 90% wakibaki bila ajira rasmi.

Tatizo hilo limeibua fursa kwa upande wa makampuni, Biashara binafsi, NGOs na mashirika. Ambapo kwa kiasi kikubwa wamekuwa hawatoi ajira tena badala yake wanatembea na kile wanachokiita VOLUNTEERING na INTERNSHIPS. Kwa malipo kiduchu ama hakuna kabisa ukilinganisha na kazi wanazofanya vijana hao. Na hilo limefanya vijana wengi wasiwe na chaguo, badala yake wanaona ni bora wakafanye hizo Internships ama kujitolea ili tu siku ziende kwa kuwa ajira imekuwa ni kilio cha taifa.

Mbaya zaidi waajiri wao pia wamekuwa na kiburi kwa sababu vijana wako wengi mtaani, anaweza kukufukuza leo, kesho akapata mwingine.

Very Sad.
 
Mimi naona kwa kiasi kikubwa shida iko kule "JIKONI" wanakoandaliwa.
Kwani Kama wameandaliwa vilivyo kukabiliana na changamoto za mtaani hasa katika kuibua na kuzitumia fursa zilizopo, tatizo hili wala lisingefika hapa lilipo.
Bado haujasema nini kifanyike, umeulizwa nini kifanyike wewe unajibu km umeulizwa wapi tatizo lilipo? Unajibu '..kwa kiasi kikubwa shida ipo kule....'

Nini kifanyike?
 
Watu wafundishwe kuwa watu.

Tuendelee kuwa wabunifu katika kutengeneza ajira.
Na ukipata Neema ya kuwa mwaajiri, usitumikishe watu bure kwasabu wajitaji ni Wengi na kwamba ukifukuza watakuja wengine.
Namna hiyo inakuwa siyo Sawa.
Hawajali kuhusu hilo anakufukuza leo kesho anaweka mwingine tena kwa ujira mdogo kuliko aliokua anakulipa wewe, hapo ndio ujue mtaani vijana njaa kali
 
Tatizo la ukosefu wa ajira limekuwa ni kilio kwa vijana walio wengi, ambapo takwimu zinaonyesha kuwa ni asilimia kumi 10% tu ya wahitimu huweza kupata ajira rasmi kila mwaka. Huku asilimia 90% wakibaki bila ajira rasmi.

Tatizo hilo limeibua fursa kwa upande wa makampuni, Biashara binafsi, NGOs na mashirika. Ambapo kwa kiasi kikubwa wamekuwa hawatoi ajira tena badala yake wanatembea na kile wanachokiita VOLUNTEERING na INTERNSHIPS. Kwa malipo kiduchu ama hakuna kabisa ukilinganisha na kazi wanazofanya vijana hao. Na hilo limefanya vijana wengi wasiwe na chaguo, badala yake wanaona ni bora wakafanye hizo Internships ama kujitolea ili tu siku ziende kwa kuwa ajira imekuwa ni kilio cha taifa.

Mbaya zaidi waajiri wao pia wamekuwa na kiburi kwa sababu vijana wako wengi mtaani, anaweza kukufukuza leo, kesho akapata mwingine.

Very Sad.
ajira ya uhakika kwasasa ni kilimo, biashara na ufugaji. Ni uhakika na inalipa.....
Kwa siasa ni wazoefu ndio wenye uhakika nazo 🐒

R.I.P Laigwanan comrade ENL
 
Hata wachina viwandani wanatembea na hii beat ya ukosefu wa ajira, uki mess up kidogo tu unapigwa teke la makalio na kuonyeshwa mlango wa kutokea..wanasema watu iko mingi nataka kazi!
Hali sio poa hata kidogo! Ndo kwamba you're employed to be fired .
 
Mimi naona kwa kiasi kikubwa shida iko kule "JIKONI" wanakoandaliwa.
Kwani Kama wameandaliwa vilivyo kukabiliana na changamoto za mtaani hasa katika kuibua na kuzitumia fursa zilizopo, tatizo hili wala lisingefika hapa lilipo.
vyuoni kumeoza kaka walimu wenyewe njaa vifaa amna vikiwepo avitoshi necta wanazidi kumimina wanafunzi vyuo avina ubavu wa kujiendesha na kuhudumia kufundisha na kutoa competent students ni theory tu zimejaa uko
 
Bado haujasema nini kifanyike, umeulizwa nini kifanyike wewe unajibu km umeulizwa wapi tatizo lilipo? Unajibu '..kwa kiasi kikubwa shida ipo kule....'

Nini kifanyike?
Come down bro!
Huwezi ku-solve tatizo bila kujua chanzo cha tatizo.
 
Familia zetu Wengi ni Masikini.
Umasikini huu, unapelekea Wengi wetu kushindwa kuwapa Watoto wetu elimu inayoendana na mahitaji ya wakati, lakini pia inayoendana na Rasilimali zilizopo.

Fursa Zipo zinatuhitaji pesa.
Vijana wapewe hizo nafasi za internship, wapate Chochote wakajiajiri. Inawezekana.
 
Back
Top Bottom