Benaya-
JF-Expert Member
- Jul 31, 2019
- 4,417
- 7,609
Ni jukumu lao kutoa elimu.Hadi wameweka faini kuzalia nyumbani inawezekana kijiji hicho kina zahanati ila mazoea yanafanya watu wasiende zahanati.
Pili mtu kuzalia nyumba inawezekana imetokea ghafla usiku na kama ujuavyo changamoto za usafiri kijijini.