Mwenye mamlaka ya kuongoza nchi atampa anaeona anaweza zaidi, aweza kuwa simbachawene au mwinginekwa kweli Wizara hii inahitaji mtu mtulivu sana sana sana! maana jeshi linaweza kujiendesha lenyewe! hatutaki mtu wa matukio! tunataka MATURED person kama Simbachawene
Mgawanyo wa majukumu unazingatiwa🤣🤣🤣Mpeni hata Zuchu si mlisema ndio waimbaji wazalendo walijitolea kwenye fiestaCCM !
Kama kawaida yake Magufuli na mambo hadi sasa ameshaunda Baraza la Mawaziri kwa 0.03% anao Mawaziri watatu pekee.
Kwakuwa uteuzi umepita, njoo useme nenoWaziri Mkuu
Kutakuwa na vita kubwa ya Uwaziri Mkuu, Kassim Majaaliwa amefanya kazi kubwa sana ya kuufuta upinzani, pia amechangia kiasi kukubwa cha kupata hizi kura za kishindo. Naona atakuwa na upinzani mkubwa wa Dr. Tulia, katika kuteuliwa kuwa Waziri Mkuu. Mwanamama huyu amekuwa na taswira nzuri mbele ya Rais kwa kutekeleza yale ya kuwabana wapinzani wa kupinga maendeleo Bungeni. Kura yangu ya Uwaziri Mkuu naona ikimuangukia Dr. Tulia