Resilience
JF-Expert Member
- Jan 4, 2023
- 877
- 4,106
Kila mtu anamtizamo wake kwenye performance ya mawaziri wa sasa. Kama tukiambiwa tupige kura ya waziri mzigo naamini utakuwa na chaguo lako. Pamoja na tathimini yako bado internally within cabinet kuna potentials alizonazo huyo unayefikiri ni mzigo.
Tuambie pamoja na potentials zilizojificha nani unadhani kwa utendaji wake alionao kwa kipindi alichopewa uwaziri kwako wewe ni ziro? Kwanini?
Mimi kwangu Prof Kitila Mkumbo kwenye mipango ya nchi hii na mikakati ya 2060 tuliyonayo si mtu sahihi kabisa. Hana mikakati au vision inayoendana na wizara yake. May be apangiwe Sehemu nyingine.
Wa pili ni waziri wa utalii na mwingine ni waziri mwenye dhamana ya madini. May be Wana internal capability ambazo wanashindwa kuzionyesha nje ila hapana bado, wizara zina wazidi. Mfano madini its like bado doto ndiye mwenye wizara huku Maliasili pakipwaya afadhali apelekwe Dr. Ndumbaru anaweza akachangamsha genge kabla meli ya utalii haijashuka
Tuambie pamoja na potentials zilizojificha nani unadhani kwa utendaji wake alionao kwa kipindi alichopewa uwaziri kwako wewe ni ziro? Kwanini?
Mimi kwangu Prof Kitila Mkumbo kwenye mipango ya nchi hii na mikakati ya 2060 tuliyonayo si mtu sahihi kabisa. Hana mikakati au vision inayoendana na wizara yake. May be apangiwe Sehemu nyingine.
Wa pili ni waziri wa utalii na mwingine ni waziri mwenye dhamana ya madini. May be Wana internal capability ambazo wanashindwa kuzionyesha nje ila hapana bado, wizara zina wazidi. Mfano madini its like bado doto ndiye mwenye wizara huku Maliasili pakipwaya afadhali apelekwe Dr. Ndumbaru anaweza akachangamsha genge kabla meli ya utalii haijashuka