Papa Mopao
JF-Expert Member
- Oct 7, 2009
- 4,107
- 2,506
<br />Papa M... umeniacha HAYWIRE kabisaa....lol
<br />
Hahahhaa! Pole sana AshaDii! Mbwa akitaka kumwaga majitaka anafanyaje?
<br />Papa M... umeniacha HAYWIRE kabisaa....lol
<br /><br /><br />
<br /><br />
hahahaha! Hujatulia wewe.
Every time I turn around, I see you baby...in 360 degrees
hiyo AK 47 ya nini King'asti?
huyu baby wako atakuwa the sky eeh?
AK 47 ya kudusulia majambazi kama wewe, naogopa kuibiwa kama ashadii. ila wakati wa emergency za mafuta naitumia kutishia wauzaji, mabosi wao na serikali
Ahahahahaah!! Wapi huko?naona jogoo kampanda mbuzi
<br /><font size="4"><span style="font-family: book antiqua"><br />
Habari wana JF .<br />
<br />
Poleni na hongereni kwa saumu (kwa wafungaji ) <br />
na pia mlolongo wa kazi na majukumu <br />
<br />
Back to topic Hapo hapo ulipo keti/jiegesha/jilaza/simama/<br />
jiachia or whatever Please... Do me a favour and taratiiiibu <br />
Geuka nyuma . What do you see??? . Tafadhali tell us <br />
any thing Yaweza kua kimoja ama zaidi ya kitu kimoja <br />
<br />
<br />
<font color="#0000cd"><b>P.S:</b> Vigezo na Masharti ya JF Rules Vizingatiwe .(ADI)<br />
</font><br />
</span></font>
naona my to-do list imechafuka kwa edits, seems i am not a good planner or there is no need to plan here... coz i donest work
pia naona mjusi ukutani hapa ofisini
<br />aaaiiiseee!!! Papa M wee unaniambia mda ule ulikua na pci inje?? au ilikua via dirisha? lol