AshaDii
Platinum Member
- Apr 16, 2011
- 16,190
- 18,080
Habari wana JF .
Poleni na hongereni kwa saumu (kwa wafungaji )
na pia mlolongo wa kazi na majukumu
Back to topic Hapo hapo ulipo keti/jiegesha/jilaza/simama/
jiachia or whatever Please... Do me a favour and taratiiiibu
Geuka nyuma . What do you see??? . Tafadhali tell us
any thing Yaweza kua kimoja ama zaidi ya kitu kimoja
P.S: Vigezo na Masharti ya JF Rules Vizingatiwe .(ADI)