Mi nimeona kabati la chuma na ufunguo unaning'inia,
natamani ungesema niangalie upandewangu wa kushotoooooo!
Naona Preta umekasirishwa mpaka umeshindwa geuka...lol...
Im still in the ofc,Mi nimeona kabati la chuma na ufunguo unaning'inia,
natamani ungesema niangalie upandewangu wa kushotoooooo!
I really hope sio mtu.... maana kama unakichukia kiondoe au tafuta jinsi ya kuki ignore kisikuumize kiasi hicho.... Pole....
Dalili zaonesha uko home eeh?? Alafu Preta unawahi kurudisha pazia... na mgao huu....lol
Hapana sis mimi na siasa wapi na wapi,ni chumbani,nikiingia JF naanzia chitchat kwenda chini.sitaki kuamini kwamba unafanya kazi ofisi ya CCM......!!!.....No....can't be....
Usinitafutie kesi kwa mmeo ladies who enter this room are calmed by more than its colour lol!Light green is a good color... ulipo sema green... nikajua hasa ile GREEN....lol
Siku moja baada ya kazi nitakuja kuona how calming the color is....lol
Ni vile vitu flani hivi ambavyo kiukweli huvitaki ila huwezi kuviondoa badala yake inakubidi kuishi navyo tu. Sucks!
.Mimi nimegeuka nyuma nikaona yale wabunge wa magamba wanayotumia kufikiri - Ma-Masaburi!!