mgt software
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 13,793
- 7,168
Matapeli ndio wanaoindesha serikali Anglia huyu papa masawe anasifiwa kuwa mlipa kodi mzuri Angalia mbunge was Moro vijijini
:israel::rapture:Futa kauli au Tanguliza neno BAADHI,,Seeeennnnnnnge sana
Huyo si nasikia ni kamanda wa chadema huyo?
Wachaga ni majanga, halafu tuwape nchi? Mawee!
Salaam wana JF,
Napenda kuwapa taarifa Watanzania wote kwamba Leo mchana kwenye mataa ya Morocco yule tapeli anayehusishwa na kulipua yard ya magari pale Mwenge Ladislus Mushi almaarufu Mushi Mapikipiki inasemekana aliingia mafichoni yeye na kundi lake,Leo mitaa ya mchana huu tukiwa pale Morocco kundi kubwa la polisi walilizunguka na kulitia nguvuni.
Kwa mtu yoyote aliyedhulumiwa nyumba,kiwanja au gari mnaweza kufika Oysterbay polisi.
Huyu tapeli ni smart sana kwenye mazungumzo,Mara nyingi anajidai anamiliki hotel kadhaa Nairobi.
Huyu jamaa walishamuuzia ndg yangu gari mpaka Leo liko polisi.
Huyu ni mtu HATARI sana kwa wasiokuwa na taarifa zake,anafanya uhalifu wake Kenya na Tanzania.
Huyo si nasikia ni kamanda wa chadema huyo?
Huyo si nasikia ni kamanda wa chadema huyo?
nilikuona huku unatangaza biashara ya magar bro jitahd uwe smart au serious bac kuchangia hapa mipasho kama hii unatukatisha tamaa wale tuliokuwa tunaanza kushawishka na matangazo yako. epuka kuongea sana bana.
nakukaa kote first world unaandka nonsense what a shame
Huyo si nasikia ni kamanda wa chadema huyo?
Mkuu huyo ni kuli kama vile wale makuli wa kariakoo,kuna tetesi vilevile jamaa ni bwabwa.
Hawa wote ni vibaraka wa mfumo kristo kuanzia huyo mliberali profesa kushindwa,huyo fast jet mzee wa totozi na uyo mpemba mnafiki aliyekimbilia UN kuigawa Zanzibar.Ungeweka picha za akina Ustaadhat Pondwa,Ustaadhat Farida na Mudi wanaojifanya vimbelembele.
Wachaga ni majanga, halafu tuwape nchi? Mawee!
Mfanyabishara asiye na busara hawezi kazi hiyonilikuona huku unatangaza biashara ya magar bro jitahd uwe smart au serious bac kuchangia hapa mipasho kama hii unatukatisha tamaa wale tuliokuwa tunaanza kushawishka na matangazo yako. epuka kuongea sana bana.
Mkuu huyo ni kuli kama vile wale makuli wa kariakoo,kuna tetesi vilevile jamaa ni bwabwa.