FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,506
- 123,802
Andika cha kueleweka! 100% ni nini?! Na kama mimi ni Mchaga au siyo itakusaidia nini?!
Ushaanza kujiibia mwenyewe.
Andika cha kueleweka! 100% ni nini?! Na kama mimi ni Mchaga au siyo itakusaidia nini?!
tueshimiane, binti
SS kinakuchanganya nn?nani alikuambia km unahela Bongo unafungwa?
Huyu jamaa ni hatari sana,enzi hizo naishi Kinondoni miaka ya 2000 tulikuwa tunapata wote bia akanisimulia jinsi alivyoiba gari la Rais mstaafu Moi na kukamatwa nalo maeneo ya Sirari siku aliyofariki Baba Nyerere.
Halafu siku nyingine alinisimulia jinsi walivyokuwa wakifukia ardhini matrekta ya wizi.
Jamaa anaongea utaratibu na utampenda kumbe ni nyoka.
Unachokikataa ni nini na sifa za wachaga zinajulikana? mchaga kama hajaiba siku moja anajiibia hata mwenyewe.
Wachaga ni majanga, halafu tuwape nchi? Mawee!
Acha kutumia kichwa kufuga nywele
Hapo uchaga umeingia vp??
Naona huyu akileta barua ya posa hutakuwa na swali zaidi ya kung'ata kucha na pengine kudai talaka fasta!!!!!!
Dada yangu sio wachaga woote ni wezi, wapo wezi wengi tuu na si wachaga!!Hivyo haina uhalali kuwa wachaga wengi ni wezi, wazee wa heshima kama Mhs Nsilo Swai, Eioufoo,Bi Lucy Rameck, Mzee Mtei hawakuwa wezi!!!
Hivi ulisha hama kule vijibweni kwa mzee Jumbe, ukarudi mjini, au bado ni mtoto wa mzee???
Its a mare joke dont worry!!!
Wachaga ni majanga, halafu tuwape nchi? Mawee!