Tapeli maarufu Dar akamatwa na polisi

Tapeli maarufu Dar akamatwa na polisi

Wanaowalipia watoto Wa police kwene shule za academy mnawajua? Au mishahara ya police inatosha au watoto Wa police hawana haki ya kusoma academy?
 
Kauli yako hii sio nzuri kabisa dada,

Unaheshimika sana humu jf,kutoa kauli ya kibaguzi kama hizi una kosea.

Ni ubaguzi? Tazama huyo tapeli anitwa nani na sifa za wachaga huzijui kuwa ni pamoja, kusoma, kufanya kazi kwa bidiii, kujenga kwao, kwenda kwao kutambika kila krismasi (hata awe Muislaam), kuiba, ujambazi, utapeli.

Kwanini ukweli uwe ni ubaguzi?
 
Salaam wana JF,

Napenda kuwapa taarifa Watanzania wote kwamba Leo mchana kwenye mataa ya Morocco yule tapeli anayehusishwa na kulipua yard ya magari pale Mwenge Ladislus Mushi almaarufu Mushi Mapikipiki inasemekana aliingia mafichoni yeye na kundi lake,Leo mitaa ya mchana huu tukiwa pale Morocco kundi kubwa la polisi walilizunguka na kulitia nguvuni.

Kwa mtu yoyote aliyedhulumiwa nyumba,kiwanja au gari mnaweza kufika Oysterbay polisi.

Huyu tapeli ni smart sana kwenye mazungumzo,Mara nyingi anajidai anamiliki hotel kadhaa Nairobi.

Huyu jamaa walishamuuzia ndg yangu gari mpaka Leo liko polisi.

Huyu ni mtu HATARI sana kwa wasiokuwa na taarifa zake,anafanya uhalifu wake Kenya na Tanzania.

Kumbe ni hili lijamaa ndiyo lilifanya huu ushenzi,jana nilikuwa hapo kwa mama kawiche napata nusu kilo na safari baridi nikasikia hizi fununu kumbe kweli..hatari!!
 
Dada yangu sio wachaga woote ni wezi, wapo wezi wengi tuu na si wachaga!!Hivyo haina uhalali kuwa wachaga wengi ni wezi, wazee wa heshima kama Mhs Nsilo Swai, Eioufoo,Bi Lucy Rameck, Mzee Mtei hawakuwa wezi!!!
Hivi ulisha hama kule vijibweni kwa mzee Jumbe, ukarudi mjini, au bado ni mtoto wa mzee???
Its a mare joke dont worry!!!
Usemavyo ni sahihi, ila hapa nadhani anazungumzia majority ya wachaga kama tuna yosema majority ya wakurya kupenda kupigana hata bila kisa cha maana
 
Mnajiangaisha tu... Nimekutana nae sasa ivi bwana Mushi hapa NAMANGA buchani.
Njia ya kwenda Msasani.
 
ukabila uko wapi hapo? Mushi si mchaga? Ulisikia kuna mmakonde anaitwa mushi?
akili zako si nzuri hata kidogo. Utadhani unafikiri kwa (jina la bar iliyolipuliwa arusha jana) na ndo mana avatar yako ni kale kanchi tulikoiga brn.
 
Back
Top Bottom