motowarombo
Member
- Apr 11, 2014
- 37
- 13
Salaam wana JF,
Napenda kuwapa taarifa Watanzania wote kwamba Leo mchana kwenye mataa ya Morocco yule tapeli anayehusishwa na kulipua yard ya magari pale Mwenge Ladislus Mushi almaarufu Mushi Mapikipiki inasemekana aliingia mafichoni yeye na kundi lake,Leo mitaa ya mchana huu tukiwa pale Morocco kundi kubwa la polisi walilizunguka na kulitia nguvuni.
Kwa mtu yoyote aliyedhulumiwa nyumba,kiwanja au gari mnaweza kufika Oysterbay polisi.
Huyu tapeli ni smart sana kwenye mazungumzo,Mara nyingi anajidai anamiliki hotel kadhaa Nairobi.
Huyu jamaa walishamuuzia ndg yangu gari mpaka Leo liko polisi.
Huyu ni mtu HATARI sana kwa wasiokuwa na taarifa zake,anafanya uhalifu wake Kenya na Tanzania.
Napenda kuwapa taarifa Watanzania wote kwamba Leo mchana kwenye mataa ya Morocco yule tapeli anayehusishwa na kulipua yard ya magari pale Mwenge Ladislus Mushi almaarufu Mushi Mapikipiki inasemekana aliingia mafichoni yeye na kundi lake,Leo mitaa ya mchana huu tukiwa pale Morocco kundi kubwa la polisi walilizunguka na kulitia nguvuni.
Kwa mtu yoyote aliyedhulumiwa nyumba,kiwanja au gari mnaweza kufika Oysterbay polisi.
Huyu tapeli ni smart sana kwenye mazungumzo,Mara nyingi anajidai anamiliki hotel kadhaa Nairobi.
Huyu jamaa walishamuuzia ndg yangu gari mpaka Leo liko polisi.
Huyu ni mtu HATARI sana kwa wasiokuwa na taarifa zake,anafanya uhalifu wake Kenya na Tanzania.