Jamaa mtata sana, ametuuzia gari kufika nae polisi, polisi wanacheka wanasema" mzee mushi salama"
Tukaishiwa nguvu kabisa ,,
Kwani hiyo gari aliyowauzia ilikuwa na utata?tujuze mdau maana bana nchi hii haina police,inawashirika wa ujambazi haki ya nani tena me nasema