Tapeli maarufu Dar akamatwa na polisi

Tapeli maarufu Dar akamatwa na polisi

Attachments

  • KITIMOTO.jpg
    KITIMOTO.jpg
    44.6 KB · Views: 523
Dada yangu sio wachaga woote ni wezi, wapo wezi wengi tuu na si wachaga!!Hivyo haina uhalali kuwa wachaga wengi ni wezi, wazee wa heshima kama Mhs Nsilo Swai, Eioufoo,Bi Lucy Rameck, Mzee Mtei hawakuwa wezi!!!
Hivi ulisha hama kule vijibweni kwa mzee Jumbe, ukarudi mjini, au bado ni mtoto wa mzee???
Its a mare joke dont worry!!!

Duh!!!!!!!!!
 
Wanaowalipia watoto Wa police kwene shule za academy mnawajua? Au mishahara ya police inatosha au watoto Wa police hawana haki ya kusoma academy?

ni kweli mkuu,kuna ka binti kanafanya pale makao makuu ya BOA bank mama ake yuko pale central polisi,inasemekana kamesomeshwa Uk na hili jamaa mama amkingie kifua kwenye kutafuta ada,Majambazi noma
 
Salaam wana JF,

Napenda kuwapa taarifa Watanzania wote kwamba Leo mchana kwenye mataa ya Morocco yule tapeli anayehusishwa na kulipua yard ya magari pale Mwenge Ladislus Mushi almaarufu Mushi Mapikipiki inasemekana aliingia mafichoni yeye na kundi lake,Leo mitaa ya mchana huu tukiwa pale Morocco kundi kubwa la polisi walilizunguka na kulitia nguvuni.

Kwa mtu yoyote aliyedhulumiwa nyumba,kiwanja au gari mnaweza kufika Oysterbay polisi.

Huyu tapeli ni smart sana kwenye mazungumzo,Mara nyingi anajidai anamiliki hotel kadhaa Nairobi.

Huyu jamaa walishamuuzia ndg yangu gari mpaka Leo liko polisi.

Huyu ni mtu HATARI sana kwa wasiokuwa na taarifa zake,anafanya uhalifu wake Kenya na Tanzania.
Angekuwa na jina kinyume na hilo na amelipuwa mahali angeitwa gaidi sio tapeli.Huyu ni gaidi.
 
Mlipuaji hajaitwa gaidi? Mbona anatajwa tu ni tapeli! Bila shaka kwa sababu yeye ni Mushi.
 
Kama kuna uwezekana picha iwekwe ili kama kuna wengine wameathirika naye, waweze kuleta vielelezo vya kuweza kumtia hatiani
 
Dada yangu sio wachaga woote ni wezi, wapo wezi wengi tuu na si wachaga!!Hivyo haina uhalali kuwa wachaga wengi ni wezi, wazee wa heshima kama Mhs Nsilo Swai, Eioufoo,Bi Lucy Rameck, Mzee Mtei hawakuwa wezi!!!
Hivi ulisha hama kule vijibweni kwa mzee Jumbe, ukarudi mjini, au bado ni mtoto wa mzee???
Its a mare joke dont worry!!!

Mtei hakuwa mwizi?..hebu tema mate chini we mwana!
 
Kuna mwingine anaitwa juma thabiti na said mashilingi wako kinondoni ni matapeli ya kutupwaaa
 
Back
Top Bottom