FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,506
- 123,802
Fauza;
Ubaguzi ni sumu; Utapeli hauna kabila; utabaki na akili mgando ya ccm hata lini?? Mbona viongozi wengi tu walioko madarakani na wengi waliopita wameoa huko huko na hakuna baya lililo wasibu?? Hakuna mchaga mwenye akili timamu atakaye uona uso wako ulivyo choka akuangalie. Usiogope, miye nimeoa huko lakini wala sina wasi naye. Toto limetuliaaa kwake sijaliona janga wala jangala
Kwenye msafara wa mamba kenge hawakosekani. Angalia yasikukute ya Ufo.