Tapeli maarufu Dar akamatwa na polisi

Tapeli maarufu Dar akamatwa na polisi

Itakuwa habari njema kwa wale waliotapeliwa....lakini kwa upande mwingine lazima niwalaumu wajinga wachache wanaoingia kwenye mitego ya watu kama hawa.Unafikiaje kutoa mamilioni ya shilingi eti kununua gari,kiwanja au nyumba bila kuthibitisha kwenye njia husika.Unanunua nyumba kwa kutumia vishoka wa mjengoni{ardhi) kwa fundi viatu pale chini?Unanunua gari uchochoroni....bongo yadizipo kila kona...na vp usiingie TRA kupata uthibitisho wa umiliki?Kweli wanasema "wajanja hawa kamwe hawataisha km wajinga ninyi mtaendelea kuwepo"!
Muombe sana Mungu, usiingie kwenye anga za hao jamaa. Umesahau waswahili walisema "Ndege mjanja, hunaswa..."
Haya Kazi ni kwako.
 
si kuna ile kanuni inayosema ''ukitaka vya halali bongo hautofanikiwa '' sasa jamaa zetu wa pande za kask ya tz wanajua kuchangamkia fulsa.woga wako ndo umaskini wako.
 
Muombe sana Mungu, usiingie kwenye anga za hao jamaa. Umesahau waswahili walisema "Ndege mjanja, hunaswa..."
Haya Kazi ni kwako.
Ndg yangu Nguvumoja km unapeda dili za mdondo utaingia kwenye reli zao tu.Mtu anakwambia kuna nyumba mil 20 masaki na ww ukatoa hela km sio zuzu ni nn?20 hta kwa mtogole hupati kibanda....Narudia tena "wajanja hawa kamwe hawataisha km mazuzu nyie bado mpo"!
 
Mhalifu ni mhalifu tu...hakuna cha kabila! Hata katika kabila lako wako wezi na majambazi pia.

Sikatai uyasemayo lakini kumbuka, kila kabila lina sifa zake, wahaya wana yao, wasukuma wana yao, wachaga yao wizi, ujambazi na utapeli.
 
Sikatai uyasemayo lakini kumbuka, kila kabila lina sifa zake, wahaya wana yao, wasukuma wana yao, wachaga yao wizi, ujambazi na utapeli.

we mdada una hasara, sijui unaishi vipi na ndugu zako!!
 
Mushi mapikipiki= mushi majungu? Anaejua naomba msaada pliz coz kama ni yeye hata mi alishaniliza
 
Wachaga ni majanga, halafu tuwape nchi? Mawee!

Mimi nafikiri majanga ni wewe ambaye akili zako zimekaa kima.vi ma.vi ambaye tangu ujiunge jf ni pumba kwa kwenda mbele....na hapo najua unamlenga mtu mmoja lakini kwa uhayawani wako ukaamua kututukana wachaga wote....useless good for nothing faizafoxy!
 
Kauli yako hii sio nzuri kabisa dada,

Unaheshimika sana humu jf,kutoa kauli ya kibaguzi kama hizi una kosea.

Si kweli kwamba huyu dada anaheshimika humu jf kifupi anawaudhi watu wengi na its high time sasa moderators wamuangalie kwa karibu tunaweza kuwa na uhuru wa kutoa maoni yetu yes but isifike katika hatua za huyu dada...you can not come here and abuse your freedom of speech at the expense of democracy....i wish ningekutana naye live huyu faiza...shame on her!
 
nilikuona huku unatangaza biashara ya magar bro jitahd uwe smart au serious bac kuchangia hapa mipasho kama hii unatukatisha tamaa wale tuliokuwa tunaanza kushawishka na matangazo yako. epuka kuongea sana bana.
Ndipo upeo wa akili yake ulipoishia!


Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
Mimi nafikiri majanga ni wewe ambaye akili zako zimekaa kima.vi ma.vi ambaye tangu ujiunge jf ni pumba kwa kwenda mbele....na hapo najua unamlenga mtu mmoja lakini kwa uhayawani wako ukaamua kututukana wachaga wote....useless good for nothing faizafoxy!

Unachokikataa ni nini na sifa za wachaga zinajulikana? mchaga kama hajaiba siku moja anajiibia hata mwenyewe.
 
Back
Top Bottom