Alipewa na Malkia Elizabeth wa Uingereza.
Sina Maelezo sana ya kutosha, lkn niliwai sikia title ya sir kapewa na Nyerere na yeye Ndio mtz wa kwanza kupewa title hiyo ijapo hakuwa Mwalimu kama wengi wanavodhan kuwa title ya u-sir anapewa mwl pekeeRIP
kwa Nini aliitwa Sir?
Soma comments za watu Hapa utaona ALITOA wapALITOA WAPI JNA LA SIR?
Si kweli hiyo heshima alipewa na Queen Elizabeth baada ya kukosoa kitu Fulani kilichoandikwa na maprofessor wa Oxford
RIP Sir George Kahama. Miongoni mwa viongozi waadilifu katika nchi hii.