Post ya mwaka jana mwanzoni
Post ya mwaka jana mwanzoni
Si ame Rest In Peace bado au?Post ya mwaka jana mwanzoni
Sir ni cheo cha heshima nchini uingerezaSina Maelezo sana ya kutosha, lkn niliwai sikia title ya sir kapewa na Nyerere na yeye Ndio mtz wa kwanza kupewa title hiyo ijapo hakuwa Mwalimu kama wengi wanavodhan kuwa title ya u-sir anapewa mwl pekee
Ndio amesha hama!Marehemu alifanya mengi sana hapa nchini ikiwa ni pamoja na kuanzisha CDA hapo Dododma!! R.I.P mzee Kahama.