TUJITEGEMEE
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 23,914
- 23,079
Hawajakosea waliosema hata zikiwa msituni baadhi yenu mtazifuatamzee wa long time sana huyu ! sijui kaacha bilion ngapi
=============
R.I.P George (Sir)
Hawajakosea waliosema hata zikiwa msituni baadhi yenu mtazifuatamzee wa long time sana huyu ! sijui kaacha bilion ngapi
Si kweli hiyo heshima alipewa na Queen Elizabeth baada ya kukosoa kitu Fulani kilichoandikwa na maprofessor wa Oxford
Dah... Mohamed Said ni maktaba ya ukweli sana......tukiweka kando ulevi wetu..nataman mzee mohamed said aje na finyango finyango za kihistoria juu Ya hayati Sir.George kahama mollah amuweke anapostahili
Hahahaa Mohamed SaidiHao ndio watu waliweka Misingi ya Taifa hili sio wale waswahili wanopewa sifa za kijinga kwamba walikuwa Dar es salaam wakinywa gahawa wanadai uhuru
Yeah!!!Great guy
Labda angekuwa muislamnataman mzee mohamed said aje na finyango finyango za kihistoria juu Ya hayati Sir.George kahama mollah amuweke anapostahili
Anapaisha Waswahili ambao historia inatuonyesha ndio walikuwa chanzo kikubwa cha kutuchelewesha kwenye Uhuru wao Walifanya TAA kama club ya ghahawa tuHahahaa Mohamed Saidi
mzee wa long time sana huyu ! sijui kaacha bilion ngapi