Mmh bibie umeangalia mahela tu. Shimboni shishe.mzee wa long time sana huyu ! sijui kaacha bilion ngapi
aliyekua mkuu wa mkoa kwan sasa ni naniChuo kikuu cha Ushirika ana jengo limepewa Jina Lake .Lecture Hall ipo Karibu kabisa na Hostel aliyeyokua akiishi aliyekua mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda au Daudi Albert Bashite.
Unawaza pesa tu, hakuna aliyewahi kuzikwa na pesa zake kaburini. Utaziacha zitaliwa na wengine na kaburini utaingia peke yakomzee wa long time sana huyu ! sijui kaacha bilion ngapi
Kuna tetesi kampuni za madini za Savannah na tancan zilikua Mali yakemzee wa long time sana huyu ! sijui kaacha bilion ngapi
Chuo kikuu cha Ushirika ana jengo limepewa Jina Lake .Lecture Hall ipo Karibu kabisa na Hostel aliyeyokua akiishi aliyekua mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda au Daudi Albert Bashite.
wewe unawaza nini?Unawaza pesa tu, hakuna aliyewahi kuzikwa na pesa zake kaburini. Utaziacha zitaliwa na wengine na kaburini utaingia peke yako