tutasingizia mapenzi ya Mungu hata kwa ambayo hayakua mapenzi yake ila ni kwa sisi kukosamaarifa. unaenda hosptial manesi wanamtupa mzazi wala hakuna kinachoendelea unategemema nini, mapenzu ya Munngu yapo hapo? tujue kutambua nyakati. kwa sababu biblia inasema wazi, JIHADHALINI SIKU ZA MWISHO KUTAKUWA NA NYAKATI ZA HATARI. 2Timotheo:3 Watu watakua wenye kupenda fedha, wenye kujisifu, wakaidi, wasio na shkrani, wasaliti, waongo, wasingiziaji..... yapo kama 19 mathayo 24. Yesu mwenyewe anasema maneno kama hayo Kujihadhali ndo nini? (homework)