jana nilifiwa na mwanangu wakati mama ake akiwa katika hatua za kujifungua, ni maumivu sana lakini naamini ni mapenzi yake mungu.
Ninawashukuru wote waliofika kunijulia hari,waliotoa pole zao na nyote kwa pamoja, mimi sina cha kuwalipa ila ninamwomba baba mwenyezi awape rehema zake na awabariki sana!
Amina.
Pole Sana Ndugu, Ila Kwetu Ni Mwiko Kulia Kama Umefiwa Na Kichanga Ambacho Hakijazidi Siku Mbili Yaani Amezaliwa Tu Na Kufa. Ailaze Mahali Pema Peponi
Kwetu,wanazika upenuni mwa nyumba,tena akina mama watupu!! Pole sana ndugu yetu!!
Pole sana sana, I can feel the pain too