Tanzia: Nimefiwa na mwanangu

Tanzia: Nimefiwa na mwanangu

Egwugu

JF-Expert Member
Joined
Mar 16, 2011
Posts
17,558
Reaction score
8,555
Jana nilifiwa na mwanangu wakati mama ake akiwa katika hatua za kujifungua, ni maumivu sana lakini naamini ni mapenzi yake Mungu.
Ninawashukuru wote waliofika kunijulia hari,waliotoa pole zao na nyote kwa pamoja, mimi sina cha kuwalipa ila ninamwomba baba Mwenyezi awape rehema zake na awabariki sana!
Amina.
 
Pole sana mkuu,

Mungu ampumzishe mtoto kwa amani.
 
Pole sana mkuu mungu akutie nguvu katika kipindi hiki kigumu
 
Pole Sana Ndugu, Ila Kwetu Ni Mwiko Kulia Kama Umefiwa Na Kichanga Ambacho Hakijazidi Siku Mbili Yaani Amezaliwa Tu Na Kufa. Ailaze Mahali Pema Peponi
 
Pole Sana Ndugu, Ila Kwetu Ni Mwiko Kulia Kama Umefiwa Na Kichanga Ambacho Hakijazidi Siku Mbili Yaani Amezaliwa Tu Na Kufa. Ailaze Mahali Pema Peponi

Kwetu,wanazika upenuni mwa nyumba,tena akina mama watupu!! Pole sana ndugu yetu!!
 
Back
Top Bottom