TANZIA: Mwanamuziki Papa Wemba afariki dunia

TANZIA: Mwanamuziki Papa Wemba afariki dunia

Kama ni hivyo Domondi ndiye atakuwa msanii wa mwisho kutoka bongo kuonana nae kabla ya kifo chake ! na tipha atakuwa mtoto wa mwisho kubebwa na papa wemba kabla ya kifo chake ! Vp hawajapiga kolabo kweli ? By the way RIP kaokokorobo ![emoji33] [emoji33] [emoji33]
Yaani watu mnaboa na huyo domo mnamuona kama mungu wenu na sehemu ambazo hausiki mtamuweka tu[emoji57] [emoji57]
 
Yaah!nyoka longo mzee wa nkolo mboka wamebaki wachache sana
Lé General Defao Matumona naye si yupo. ..Kanda bongoman pia...au hawa level zao bado sio legendary manake batch yao hawa ndo wakina marehemu Madilu?[emoji15]
 
Daaaaah Viva la Musica.. My best album from Papa wemba... Dixeme le Commencement.. Pumzika kwa Aman papaa
 
Vyuma kama yeye vimebaki vichache nadhani bozi na sikumbuki kama jose kiambukuta kama yu hai dilu dilomona aaah simaro lutumba chini panapeleka.

Josky Kiambukuta amerudi DRCongo na inasemekana yuko katika bendi ya OK Jazz (ametoka Bana OK) inayokuwa managed na Emongo Luambo (huyu ni mtoto wa Franco lakini si mwanamuziki). Papa Lutumba anaendelea kuiongoza L'Ochestre Bana OK ya Kinshasa at 78 huenda akawa mwanamuziki ambaye hajapata kuacha kupiga mziki (ukiacha matatizo ya afya-miguu yalimpata karibuni).
 
Kweli kifo kimeumbwa yaani wakati wakiimba colas na vyombo vikilindima kwa magitaa na drams kwa ustadi ndipo alipodondoka Mwanamuziki huyu nguri na kuaga dunia
 

Papa Wemba: Congolese music's dandy



Papa Wemba - Bakwetu (Live on Night Music 1989)
Source: Rare Tracks youtube


Papa Wemba – who has died, aged 66 – was one of Africa’s most celebrated, flamboyant singers, but he also became famous for all the wrong reasons. For one, he became notorious for using his band as a people-smuggling organisation. When he visited Europe from the Democratic Republic of Congo, he would often be accompanied by a sizeable entourage of musicians and supporters, who, it was claimed, were not always genuine. Many never intended to return to Kinshasa once the tour was finished. It was an elaborate illegal immigration operation that earned Papa Wemba a jail sentence in France in 2004, and the refusal of a visa to return to the UK the following year.

He was also known for his extraordinary dress sense. The country he grew up in had been battered by war and poverty, and he became leader of a group of young Congolese who hit back at the hardship and gloom that surrounded them by developing an obsession for expensive designer clothes. The sapeurs were the dandies of Kinshasa, and Papa Wemba was their hero, always dressed in finery, even after his jail humiliation, as shown by the DVD for his 2006 New Morning set, in which he sported spotted black trousers and a black hat.


His activities and his looks inevitably attracted attention, but Papa Wemba deserves to be remembered for his music, and as one of the great stars who continued the legacy of Congo’s classic rhumba tradition. In Kinshasa he was rightly treated as a celebrity, even when the West was becoming fascinated by the rise of the new Congolese styles of Staff Benda Bilili or Konono No 1. I last saw him playing in a Kinshasa club in 2009, and he was still in impressive and emotional voice, his voice soaring easily over the gently driving soukous backing, to the delight of a far younger audience. He was a singer and a showman to the end, and it seemed appropriate that he died on stage during a performance in Abidjan, Ivory Coast, as his dancers continued to perform, initially unaware that the singer had collapsed.

Wemba was born Jules Shungu Webadio in what was then Léopoldville in the Belgian Congo, and he was influenced by music in his childhood. His adopted mother was a pleureuse, a professional mourner, and the influence of her laments could be heard in heard in some of his slower songs, though he became an international celebrity by matching the emotion that he heard in her singing with to a very different and rousing dance style.

He was born in the right time and place for an aspiring singer. Thanks to musicians like the great guitarist Franco and his band OK Jazz, and other bands from African Jazz to Africa Fiesta, Congolese rhumba or soukous became massively popular across the continent, and then in the West, thanks to its insistent rhythms and guitar lines. Founded in 1969, the band Zaïko Langa Langa set out to redefine the music in a band that sometimes featured over 20 musicians on stage, and Papa Wemba became one of their key vocalists. They notched up as series of major hits in the early 70s, before Wemba went off to work with the now legendary Viva La Musica and then with his own band Molokai.


In the 80s Wemba moved to Paris to develop his international career, becoming a key figure in the (then) new genre of world music with albums that included recordings for Peter Gabriel’s Real World. He was the opening act on Peter Gabriel’s Secret World tour in 1993, and headlined at Womad in 2000, instantly establishing himself as a festival favourite. The 2012 compilation set Real World At Womad starts with Bakwetu, a reminder of Papa Wemba’s glorious, easy-going voice and his mastery of the slinky, hip-swinging rhythms of soukous , takenfrom his 1998 album Molokai.

He became a dancefloor hero across Africa and Europe, but he was still happy to experiment. One of my favourite Wemba songs was a reminder of his earliest roots. On Excuse Me, on the 1998 Molokai album, the king of the sapeurs made his solo a capella debut on a song that showed his emotional range and the influence of his adopted mother. He was one of Africa’s great voices. Papa Wemba: Congolese music's dandy with a dark side
 
VP MTABIRI WA NIGERIA TB JOSHUA HAKUONA KWENYE DARUBINI ZAKE??baadae utaskia tu TB JOSHUA Alitabiri nyoooo
 
Kifo tunatembea nacho, ole wao wanaowainulia pua binadamu wenzao;
 
Josky Kiambukuta amerudi DRCongo na inasemekana yuko katika bendi ya OK Jazz (ametoka Bana OK) inayokuwa managed na Emongo Luambo (huyu ni mtoto wa Franco lakini si mwanamuziki). Papa Lutumba anaendelea kuiongoza L'Ochestre Bana OK ya Kinshasa at 78 huenda akawa mwanamuziki ambaye hajapata kuacha kupiga mziki (ukiacha matatizo ya afya-miguu yalimpata karibuni).
Kumbe simaro karudi kuendeleza jahazi hapo safi sana kuna wakati alikaa pembeni nadhani kulikuwa hakuna maelewano ahsante kwa taarifa.
 
Lé General Defao Matumona naye si yupo. ..Kanda bongoman pia...au hawa level zao bado sio legendary manake batch yao hawa ndo wakina marehemu Madilu?[emoji15]
Yaah!nao pia wapo ingawa hapo nadhani defao ana fit kuliko kanda bongo man defao na bozi walikuwa wote kipindi flan.
 
Yaani watu mnaboa na huyo domo mnamuona kama mungu wenu na sehemu ambazo hausiki mtamuweka tu[emoji57] [emoji57]
Why are u so mad [emoji12] dont panic
117bf788493be8aa30960236899eaa00.jpg
 
Back
Top Bottom