TANZIA: Mwanamuziki Papa Wemba afariki dunia

TANZIA: Mwanamuziki Papa Wemba afariki dunia

The influential Congolese music star Papa Wemba has died after collapsing on stage in Abidjan in Ivory Coast, media reports say.

Video from the concert shows the artist, who was 66, slumped on the floor as dancers continue to perform, unaware of what is happening.

French broadcaster France 24 reported the death, quoting his manager.

_86817111_breaking_image_large-3.png
 
Napenda ile nyimbo yake ya chozi aliyeimba kwa kiswahili...so sad RIP GWIJI LA MAGWIJI
 
View attachment 342043 Muimbaji huyo maarufu amefariki akiwa Abidjan, Ivory Coast.

Alikuwa yupo nchini humo kutumbuiza kwenye tamasha la muziki la Anoumabo (FEMUA)

Redio ya Kongo, Radio Okapi imetangaza taarifa za kifo chake.

Amefariki akiwa na umri wa miaka 66.
RIP mzee mzima. Sitakusahau kwa ukarimu wako na kupenda waafrika na hii inadhihirika pale uliponilipia kahawa katika kijiwe cha dada wa kihabeshi uwanja wa ndege Adis ababa.umeacha legacy sio tu ktk kuenzi muziki wa kiafrika Bali umoja na upendo baina yetu. Umetangulia nasi nyuma yako. Mungu akupumzishe kwa amani Amen.
 
Yule gwiji wa muziki Afrika, toka DRC Papa Wemba, amefariki dunia. Habari zinasema alikuwa katika shoo huko Ivory Coast, stejini akadondoka. Alikuwa na miaka 66.
Chanzo: France 24 English.
 
PUMZIKA KWA AMANI PAPA WEMBA POLE KWA WAFIWA NA WAPENZI WA MUZIKI WAKE WOTE
 
Back
Top Bottom