Imebidi nicheke ingawaje habari ni ya huzuni ila ukweli i kwamba PAPA WEMBA kiongozi wa kundi la VIVA LA MUSICA kafariki tena stejiniPicha gani kaka!! ya kufariki? au!
besti kwani kofi na papa walikuwa maadui? Mbona waliimba pamoja wimbo wake up miaka ya 80Koffi atakuwa anachekea moyoni,maana adui yake mkuu katangulia
Bonge la wimbo, wameonyeshana ufundi wa hali ya juu mnoMimi nakumbuka Collabo na JB M'PIANA Cavelier Solitire(spelling check)
umeshasema best kuwa miaka ya 80,walikuwa hawapatani kabisa,hata kwenye harusi ya kanisani ya Papa Wemba mwaka 2014 Koffi hakualiwa,kama Diamond na Allikiba sasa ni maadui ingawa mwanzoni walikuwa wanapatanabesti kwani kofi na papa walikuwa maadui? Mbona waliimba pamoja wimbo wake up miaka ya 80
Kwani wanaokuwa Paris huwa hawafi ama?he ,si juzi tu alikuwa Paris,ama kweli mwanadamu anatembea na kifo,RIP PAPA WEMBA
Na mwingine aliyebaki ni Nyoka Longo wa zaikolangalanga. Na Sam Mangwana mzee wa yo kabibi!Vyuma kama yeye vimebaki vichache nadhani bozi na sikumbuki kama jose kiambukuta kama yu hai dilu dilomona aaah simaro lutumba chini panapeleka.
Na yeye ataishi milele!Koffi atakuwa anachekea moyoni,maana adui yake mkuu katangulia
Yaah!nyoka longo mzee wa nkolo mboka wamebaki wachache sanaNa mwingine aliyebaki ni Nyoka Longo wa zaikolangalanga. Na Sam Mangwana mzee wa yo kabibi!
hataishi milele,ila ile tu adui yake katanguliaNa yeye ataishi milele!
Namaanisha ni muda mfupi tu nilimwona kwenye TV akiwa Paris anahojiwa kuhusu hiyo Concert ya Abdjan,tena akasema mwezi May atakuwa Angola,na mwezi June atakuwa Nairobi,issue siyo kuwa Paris ila nilimwona akiwa buheri wa afya,kwa hujaona jinsi nilivyomalizia sentensi yangu au wewe umeona Paris tu?sema nikutafutie visa na nauli nikupe uende ukaangalie EURO CUP 2016Kwani wanaokuwa Paris huwa hawafi ama?
Anyway Mungu amlaze mahala anapo stahili.