TANZIA: Mwanamuziki Papa Wemba afariki dunia

TANZIA: Mwanamuziki Papa Wemba afariki dunia

Dah! huyu mzee kautendea haki muziki..namkumbuka na style yake ya kuvaa ''suspender" !... naikumbuka ile kazi walifanya na jb mpiana mukulu binaadamu kitu cha 'Cavalier Solitaire'...RIP mzee!
 
Huyu jamaa alikuwa na nyota ya kupendwa but sijaona nyimbo nzuri kutoka kwake

Hakuwazidi akina jb mpiana, koffi akina werra son etc

Pia yasemekana aliwahi kumuoa mama yake koffi antoi charles olomide.
Papa ana heshima kubwa ndani ya DRC, maana ameibua vipaji vingi vya muziki.
 
R i p mzee nenda salama kaz yk Mola haina mokosa.Mbele yetu nyuma yetu sote safar ni moja
 
R.I.P PAPA WEMBA
Cg0DmF7WwAAyboa.jpg
 
Back
Top Bottom