Tanzia: Mwana JF Straton Mushi aaga dunia

Tanzia: Mwana JF Straton Mushi aaga dunia

Hapo ndo nlipokosea. Ndo basi tena. We jua kwa uhakika kabisa alikuwa mmoja wetu. Ila ID yake sitataja kwa kuwa nshataja jina.
Lakini kipi bora?? Kujua mhogo mchungu (JF ID ) amekufa au kujua amina ramadhan ( jina real la mhogo mchungu) amekufa??
Kujua ID ya JF

Maana tunatambuana kwa ID
 
Duh..huenda kuna mambo ya kimila..maskini inauma!...

Kizunguzungu. Yani mtu anakufa amelala na kesho yake anaenda kuripoti kituo kipya na alipita Uru home kumuaga maza ake.
Huyu nae hata hajaumwa kujisikia vibaya kufika hospital eti figo zimefeli na kifo hapohapo bila kuuguzwa mda.
Kuna majaribu eti halafu wenye uwezo walioshika familia Ndio wanaondoka....
 
Madam, kuna watu humu wana upungufu wa akili, ni ajabu lakini ndio ukweli. Hajauliza maxence melo boss wa jf, aje aulize just a mere member tu wa humu?! Insane!

We acha tu ndugu yangu. Kuna watu JF wapo kwa ajili ya provocation. Tatizo JF imekusanya watu wa kila aina waweza toa mshipa kumbe hata unajibizana na teja bila kujua
 
R. I. P Msalimie nyerere, kawawa, Rugena wengine Waambie tutakuja japo tutachelewa sana
 
Ule ukoo pesa ipo sema ndo hivyo watoto wa Yule mama wanakufa Vifo vya ghafla. Inasikitisha. Kaka wa Straton alifariki akiwa amelala Tena baada ya uteuzi wa nafasi ya juu. Siku amefariki Ndio siku alikuwa anaenda kuripoti na dereva alishakuja kumfwata kumgongea ashavuta. Inasikitisha.
Alipata uteuzi serikalini?
 
Back
Top Bottom