Tanzia: Mwana JF Straton Mushi aaga dunia

Tanzia: Mwana JF Straton Mushi aaga dunia

Mwambie huyo anayeongelea habari za hela mbele ya wachaga. Wachaga nomaa. Me December ilinikuta uchagani nikajiuliza Hawa nao ni raia wa JPM au wana nchi Yao? Sherehe zinaanza December 15 kunywa na kuchinja non stop hadi January 5 au 7 kulingana na ratiba za kazi.
Same to misiba wanasherehekea as if hakuna kesho.

Shikamooni wachaga.

Tukubalini wachaga na wahaya wametuacha mbali.
Unaonekana we mbabaikaji sana......
Unataka kuonaaa Hela...... Sema suuuuu!

manengelo

Ova
 
Unaonekana we mbabaikaji sana......
Unataka kuonaaa Hela...... Sema suuuuu!

manengelo

Ova

Mrangi ujue nakuheshimu. Sipendi nikukosee adabu
Kuniita mbabaikaji kwa kuelezea mawazo na mtizamo wangu unanikosea heshima.
Km mtizamo wangu hukubaliani nao ni bora kupita kimyakimya km umekosa lugha nzuri.
 
IMG_20191123_221054_899.jpeg
 
Ule ukoo pesa ipo sema ndo hivyo watoto wa Yule mama wanakufa Vifo vya ghafla. Inasikitisha. Kaka wa Straton alifariki akiwa amelala Tena baada ya uteuzi wa nafasi ya juu. Siku amefariki Ndio siku alikuwa anaenda kuripoti na dereva alishakuja kumfwata kumgongea ashavuta. Inasikitisha.


Duh..huenda kuna mambo ya kimila..maskini inauma!...
 
RIP member mwenzetu! Ila mamii ninachoonaga hapa watu wakileta taarifa za msiba za member yeyote wa JF huwa wanamtambulisha kwa ID aliyokuwa anaitumia humu na si jina lake halisi....coz humu anajulikana kwa ID yake.....all in all apumzike kwa amani
Picha yake nimeshaiweka. Cha muhimu ni kwamba alikuwa mwana JF mwenzetu na alishiriki sana kwenye siasa za upinzani pamoja na Akina mnyika , na wengineo .
 
RIP member mwenzetu! Ila mamii ninachoonaga hapa watu wakileta taarifa za msiba za member yeyote wa JF huwa wanamtambulisha kwa ID aliyokuwa anaitumia humu na si jina lake halisi....coz humu anajulikana kwa ID yake.....all in all apumzike kwa amani
Kuna mtu nahisi humu bila shaka atakuwa ni yewe ninavyomuhisi asipojitokeza
 
Back
Top Bottom