Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,237
Usimlinganishe mh Lissu na huyo mgaa gaa na upwa wa LumumbaKwani Tundu Lisu anatibiwa wapi?!
Usimlinganishe mh Lissu na huyo mgaa gaa na upwa wa LumumbaKwani Tundu Lisu anatibiwa wapi?!
Umemaliza ghasiaChato International Technical Hospital
Spika wa bunge Job Ndugai ametangaza kifo cha mbunge wa viti maalumu Martha Umbula.
Kwani Tundu Lissu anatibiwa wapi?!
Even me naweza kuwa muheshimiwa.Why insist 1955?
Yes, why not? How old are you? even at 120 yrs, you can still make it to the UheshimiwaEven me naweza kuwa muheshimiwa.
Shida ni kuwa umepitaje? kwa kuua wenzako/wananchi/wapinzani wako? hili ndilo la msingiRIP Mbunge, hapa duniani sisi ni wapita njia tu, ni sisi tuliobaki kujikumbusha kuishi kwa kutenda haki kama sisi tunavyotaka tupatiwe hiyo haki - ili siku ya mwisho tuhesabiwe haki - Kila nafsi itaonja mauti
Shihata wewe Ulitaka wewe ulete huu uzi ukawahiwa lakini ulivyo popoma ukaona uwe wa kwanza kukoment kuondoa aibu.Spika wa bunge Job Ndugai ametangaza kifo cha mbunge wa viti maalumu Martha Umbula.
Kitu gani kilichompelekea atibiwe ughaibuni,,,Kwani Tundu Lissu anatibiwa wapi?!
Mbona binadamu wengi tu wanakufa kwa siku hawatangazwi na wala salama toka ofisi kuu huwa hatuzioni.Issue ni binadamu kufa na si aina ya ubunge
Martha kamwibia kura Nani we nyumbu pingapinga?Siwapendi walioiba kura za wenzao!!
Kaenda kwa pesa zake SEMA wewe huna hela ungekuwa nazo hakuna ambaye angekuuliza, ila kwa gharama za serikali lazima uulizwe.Kwani si tuliambiwa kuwa hakuna kwenda kutibiwa ughaibuni?