Tajiri la Bitcoin
JF-Expert Member
- Apr 9, 2017
- 1,087
- 643
Why can't you proud off kwamba gharama za maisha zawananchi wetu ziko chini?
Lazima tuone juhudi za serikali ya Rais SAMIA
Lazima tuone juhudi za serikali ya Rais SAMIA
Angaliaga na GDP za watu Rwanda ni Landlocked Umeme wao kwa asilimia kubwa unatumia Diesel ambayo lazima isafirishwe kupitia Dar au Msa.
Iko siku utasema tumsifie Mama kwa sababu anapigia Colgate Raisi wa Somalia apigia mswaki wa mti.