JUAN MANUEL
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 6,834
- 14,201
RAIS wa Jamuhuri ya Muunguno wa Tanzania John Magufuli hii leo anatarajiwa kupokea gawio la Sh Bilion 100 kutoka Kampuni ya Madini ya Twiga inayomilikiwa kwa ubia na Kampuni ya Barrick Gold Mine na Serikali ya Tanzania.
Tukio linafanyika katika ukumbi wa mikutano wa kimataifa wa Julius Nyerere.
========
Rais Magufuli: Siku za nyuma nilipokuwa nikisema #Tanzania ni tajiri watu walikuwa wananishangaa kwa sababu tulitaka hata kujenga vyoo vya wanafunzi wetu tulitaka mfadhiri
> Akifungua matundu 12 ya choo tunampigia makofi, anachimba matundu kumbe chini pale kuna Almasi
FUATILIA LIVE:
Hili gawio ni baada ya muda gani, mwezi, mwaka, tuna hisa Twiga kwa zaidi ya miaka mitano lakini sijawahi kusikia tukipewa gawio au huwa tunapokea kimya kimya. Sasa hivi kwa vile ni kipindi Cha kampeni wameona itangazwe mubashara. Anayejua ukweli aweke hapa, vipi kulikuwa na gawi ,2015, 2016, 2017, 18,19? Au ni gawio mabeberu wakijisikia tu?