Tanzania yakabidhiwa gawio la Tsh. bilioni 100 kutoka Kampuni ya Twiga

RAIS wa Jamuhuri ya Muunguno wa Tanzania John Magufuli hii leo anatarajiwa kupokea gawio la Sh Bilion 100 kutoka Kampuni ya Madini ya Twiga inayomilikiwa kwa ubia na Kampuni ya Barrick Gold Mine na Serikali ya Tanzania.

Tukio linafanyika katika ukumbi wa mikutano wa kimataifa wa Julius Nyerere.

========

Rais Magufuli: Siku za nyuma nilipokuwa nikisema #Tanzania ni tajiri watu walikuwa wananishangaa kwa sababu tulitaka hata kujenga vyoo vya wanafunzi wetu tulitaka mfadhiri

> Akifungua matundu 12 ya choo tunampigia makofi, anachimba matundu kumbe chini pale kuna Almasi

FUATILIA LIVE:

Hili gawio ni baada ya muda gani, mwezi, mwaka, tuna hisa Twiga kwa zaidi ya miaka mitano lakini sijawahi kusikia tukipewa gawio au huwa tunapokea kimya kimya. Sasa hivi kwa vile ni kipindi Cha kampeni wameona itangazwe mubashara. Anayejua ukweli aweke hapa, vipi kulikuwa na gawi ,2015, 2016, 2017, 18,19? Au ni gawio mabeberu wakijisikia tu?
 
Idadi ya michango hasi/chanya kwenye uzi huu unaohusu ustawi wa Mama Tanzania imenifanya nitambue umuhimu wa Jamii formu kwa mustakabari wa ustawi wa nchi yetu......
Kumbe napoteza bando langu hapa!
 
Ripoti ya makinikia iliyoleta matunda haya,

Mgombea wa Urais kupitia Chadema Bwn. Lisu aliiita takataka.

Sasa ndio mtaona kuwa Lisu hana judgement nzuri, na hafai kuongoza nchi.
Ukisikia kufanywa wajinga ndio huku. Kampuni imeanzishwa January 2020, Leo in the middle of October tayari imesha fanya funga hesabu za mwaka, wakaguzi wameshapitia na tayari kutoa GAWIO lake?
Hii kampuni inaendeshwa kama genge LA Biriani la Mariamu Biriani pale Ilala?
Huwezi kufanya ubia mkubwa namna hiyo na kampuni ya kimataifa kama Barrick kisha mkaendesha mahesabu kihuni namna hiyo ambavyo ambavyo hata kampuni mbovu kama TAZARA tuu hawawezi fanya huo uhuni.
Wapi ripoti ya Bodi ya wakurugenzi kuhusu kupitisha gawio hilo?
Anyway, hesabu za TWIGA zinafungwa kila baada ya mwezi au miezi sita badala ya mwaka?
Sisi sio washamba kama nyie!
View attachment 1598875
 
Braza ulishajipotezea sifa, huna la maana tena na unafiki wako, hujisikii aibu kushabikia hao watu wauaji, madikteta, wakandamizaji ambao ulishathubutu hata kuwanyooshea kidole na wakakufanya mbaya?
Leo hii umeamua kuungana na ibilisi?

Aibu yako!

#Niyeye2020
Mada ni kuhusu Tanzania kukabidhia gawio la faida ikiyopatikana kati ya ubia wa Tanzania na Barrick, kupitia kampuni ya madini ya Twiga. Wewe unaibua hoja nje ya mada.

Kwa taarifa yako muda si mrefu utajua ukweli wahusika na uhakifu huo ni nani. Aibu utakayoipata itabaki moyoni mwako milele kwa kuwa unajificha nyuma "keyboard".
 
RAIS wa Jamuhuri ya Muunguno wa Tanzania John Magufuli hii leo anatarajiwa kupokea gawio la Sh Bilion 100 kutoka Kampuni ya Madini ya Twiga inayomilikiwa kwa ubia na Kampuni ya Barrick Gold Mine na Serikali ya Tanzania.

Tukio linafanyika katika ukumbi wa mikutano wa kimataifa wa Julius Nyerere.

========

Rais Magufuli: Siku za nyuma nilipokuwa nikisema #Tanzania ni tajiri watu walikuwa wananishangaa kwa sababu tulitaka hata kujenga vyoo vya wanafunzi wetu tulitaka mfadhiri

> Akifungua matundu 12 ya choo tunampigia makofi, anachimba matundu kumbe chini pale kuna Almasi

Rais Magufuli: Nawashukuru timu ya maridhiano, chini ya Prof. Kabubi, Gavana na wengine, hawa ndio wamefanya tupate hizi fedha

>Sababu ya unyeti wa mazungumzo ilibidi wakati mwingine walale ofisini, wanakesha wakizungumza, saa nyingine tuliwafungia wasirubuniwe na matajiri

Rais Magufuli: Kupatikana kwa hizi Bilioni 100, nafahamu kama ni uwekezaji wa matrilioni ya pesa, nyie mna 84% sisi tuna 16% pekee lakini faida tunagawana 50% kwa 50%

> Ndiyo tumeanza, najua mtakapopiga mahesabu vizuri zitakuwa nyingi zaidi, naomba na zenyewe zije haraka

Rais Magufuli: Nawashukuru timu ya maridhiano chini ya Prof. Kabudi, Gavana na wengine. Hawa ndio wamefanya tupate hizi fedha

> Sababu ya unyeti wa mazungumzo ilibidi wakati mwingine walale ofisini, wanakesha wakizungumza. Saa nyingine tuliwafungia wasirubuniwe na matajiri

Rais Magufuli: Kufanya mazungumzo na kampuni kama Barrick, it was not [an] easy job! Walikuwa na ma-lawyer, walikuwa na watu wa kila aina lakini waligonga mwamba kwa hawa vijana. Makubaliano haya si mepesi. Mnakuwa na share ya permanent. Ni mkataba wa aina yake wa madini katika Afrika. Ninapozungumza na marais wenzangu wananiuliza: ‘How did you do it?’, ‘How did you manage it?’ – wanashangaa.

Rais Magufuli: Miongoini mwa sababu zilizofanya tusinufaike na Madini yetu ni udhibiti mdogo katika usafirishaji wa Madini ghafi, wizi na utoroshaji wa Madini

> Baada ya Serikali ya awamu ya 5 kuingia madarakani, tulianza kuchukua hatua ikiwemo kusitisha usafirishaji wa mchanga

Rais Magufuli:
Tumeimarisha Shirika la STAMICO ambalo lilikuwa lifutwe kwasababu halikuwahi kuleta faida. Tuliliwezesha kupata mitambo ya kisasa ya uchongaji

> Kwa sasa STAMICO inakamilisha ujenzi wa mtambo wa kusafisha dhahabu Mwanza ambao utakuwa unasafisha kilo 480 kwa siku

FUATILIA LIVE:

Mzee wa faru John anazikodolea macho hatari.Sio za saccos hizi, ni za watanzania kamanda. Wewe tafunaga ruzuku na michango ya wabunge wako.
 
RAIS wa Jamuhuri ya Muunguno wa Tanzania John Magufuli hii leo anatarajiwa kupokea gawio la Sh Bilion 100 kutoka Kampuni ya Madini ya Twiga inayomilikiwa kwa ubia na Kampuni ya Barrick Gold Mine na Serikali ya Tanzania.

Tukio linafanyika katika ukumbi wa mikutano wa kimataifa wa Julius Nyerere.

========

Rais Magufuli: Siku za nyuma nilipokuwa nikisema #Tanzania ni tajiri watu walikuwa wananishangaa kwa sababu tulitaka hata kujenga vyoo vya wanafunzi wetu tulitaka mfadhiri

> Akifungua matundu 12 ya choo tunampigia makofi, anachimba matundu kumbe chini pale kuna Almasi

Rais Magufuli: Nawashukuru timu ya maridhiano, chini ya Prof. Kabubi, Gavana na wengine, hawa ndio wamefanya tupate hizi fedha

>Sababu ya unyeti wa mazungumzo ilibidi wakati mwingine walale ofisini, wanakesha wakizungumza, saa nyingine tuliwafungia wasirubuniwe na matajiri

Rais Magufuli: Kupatikana kwa hizi Bilioni 100, nafahamu kama ni uwekezaji wa matrilioni ya pesa, nyie mna 84% sisi tuna 16% pekee lakini faida tunagawana 50% kwa 50%

> Ndiyo tumeanza, najua mtakapopiga mahesabu vizuri zitakuwa nyingi zaidi, naomba na zenyewe zije haraka

Rais Magufuli: Nawashukuru timu ya maridhiano chini ya Prof. Kabudi, Gavana na wengine. Hawa ndio wamefanya tupate hizi fedha

> Sababu ya unyeti wa mazungumzo ilibidi wakati mwingine walale ofisini, wanakesha wakizungumza. Saa nyingine tuliwafungia wasirubuniwe na matajiri

Rais Magufuli: Kufanya mazungumzo na kampuni kama Barrick, it was not [an] easy job! Walikuwa na ma-lawyer, walikuwa na watu wa kila aina lakini waligonga mwamba kwa hawa vijana. Makubaliano haya si mepesi. Mnakuwa na share ya permanent. Ni mkataba wa aina yake wa madini katika Afrika. Ninapozungumza na marais wenzangu wananiuliza: ‘How did you do it?’, ‘How did you manage it?’ – wanashangaa.

Rais Magufuli: Miongoini mwa sababu zilizofanya tusinufaike na Madini yetu ni udhibiti mdogo katika usafirishaji wa Madini ghafi, wizi na utoroshaji wa Madini

> Baada ya Serikali ya awamu ya 5 kuingia madarakani, tulianza kuchukua hatua ikiwemo kusitisha usafirishaji wa mchanga

Rais Magufuli: Tumeimarisha Shirika la STAMICO ambalo lilikuwa lifutwe kwasababu halikuwahi kuleta faida. Tuliliwezesha kupata mitambo ya kisasa ya uchongaji

> Kwa sasa STAMICO inakamilisha ujenzi wa mtambo wa kusafisha dhahabu Mwanza ambao utakuwa unasafisha kilo 480 kwa siku

FUATILIA LIVE:

Na mimi nasema acha kazi iendelee, nitamchagua tena Magufuli, nakushauri na wewe mchague Magufuli.
 
Kampeni hii!

Hii huenda ni chenji tu ya makinikia yaliouzwa nje baada ya kuzuiwa humu nchini maana tuliambiwa mchanga ule ilikuwa na madini ya thamani kubwa .
Hqkuna kitu. Ni hila na janjajanja ya kampeni tu. Hakuna hela yoyote inayolipwa. Mtaambulia kuona hundi bandia ikioneshwa, ama fedha toka benki kuu ikihesabiwa mbele ya waandishi wa habari na kisha kurudishwa tena.
 
Hqkuna kitu. Ni hila na janjajanja ya kampeni tu. Hakuna hela yoyote inayolipwa. Mtaambulia kuona hundi bandia ikioneshwa, ama fedha toka benki kuu ikihesabiwa mbele ya waandishi wa habari na kisha kurudishwa tena.
Yote usemayo yanawezekana kabisa!
 
Inawezekana makubaliano kati ya Tanzania na Barrick ni mazuri sana kwa sasa, hofu yangu ni nguvu aliyo nayo rais kwa mujibu wa katiba yetu, inawezekana rais ajaye hata kutoka ccm akaamua kuuvunja na kuunda watakavyo, Maana hakuna wa kumuuliza.
 
Hizo ni flyover ngapi ?

Achana na ma-Flyovers ya bei kubwa, zungumzia vile vituo vya Afya kila Kata vya TZS 400 - 500M tutapata Vituo almost 200. There we go, tumecheleweshwa sana. Tukutane trh 28.
 
Inawezekana makubaliano kati ya Tanzania na Barrick ni mazuri sana kwa sasa, hofu yangu ni nguvu aliyo nayo rais kwa mujibu wa katiba yetu, inawezekana rais ajaye hata kutoka ccm akaamua kuuvunja na kuunda watakavyo, Maana hakuna wa kumuuliza.
Umeona mkataba?
 
Mzee wa faru John anazikodolea macho hatari.Sio za saccos hizi, ni za watanzania kamanda. Wewe tafunaga ruzuku na michango ya wabunge wako.
Mungu aliyetuletea John Pombe Magufuli kuwa rais ni Mungu anayeishi
 
Mungu aliyetuletea John Pombe Magufuli kuwa rais ni Mungu anayeishi
Mungu anayeishi hataki mtu muaji, mtekaji, anayepora wafanyabiashara fedha zao, anayepiga watu risasi, anayebagua majimbo yalichagua upinzani, n.k
 
Back
Top Bottom