Elythrobacter
Member
- Sep 29, 2020
- 47
- 94
Sijauona, lakini rais ana mamlaka ya kufanya chochote. Ndo maana ilitungwa sheria na bunge kwamba rais ajaye lazima aendelee na mchakato wa katiba mpya lakini rais ameona ni utopolo akaiacha. Mkuu
Umeona mkataba?