Tanzania yakabidhiwa gawio la Tsh. bilioni 100 kutoka Kampuni ya Twiga

Hebu nikumbush


Hebu nikumbushe, hivi lile deni la taifa limefika kiasi gani tena?
Nambie wewe ni nchi ipi ya Africa aidaiwi?
Hata deni liweje tutalipa tu,sababu ya kulipa tunayo,fursa za kulipa madeni tunazo na nia tunayo tutalipa tu.
 
Mungu anayeishi hataki mtu muaji, mtekaji, anayepora wafanyabiashara fedha zao, anayepiga watu risasi, anayebagua majimbo yalichagua upinzani, n.k
Ukiweza kuthibitisha hayo uliyoyaandika hapo juu???

Imeandikwa..... "Kila mtu hana budi kutii serikali inayotawala. Kwa maana hakuna mamlaka isiyotoka kwa Mungu; na serikali zote zilizopo zimewekwa na Mungu. 2 Kwa hiyo anayepinga mamlaka inayotawala ana pinga chombo kilichowekwa na Mungu; na watu wanaoasi watajiletea hukumu. 3 Kwa maana watawala hawatishi watu wanaotenda mema bali wale wanaotenda maovu. Kama hupendi kuishi kwa kumwogopa mwenye mamlaka, basi tenda mema naye atakusifu. 4 Maana mwenye mamlaka ni mtumishi wa Mungu kwa manufaa yako. Lakini kama ukitenda maovu, basi ogopa kwa maana hatembei na silaha bure. Yeye ni mtumishi wa Mungu anayetekeleza adhabu ya Mungu juu ya watenda maovu. 5 Kwa hiyo ni lazima kutii wenye mamlaka, si kwa sababu ya kuogopa adhabu tu bali pia kwa ajili ya dhamiri.
6 Kwa sababu hiyo hiyo mnalipa kodi, kwa maana watawala ni watumishi wa Mungu ambao hutumia muda wao wote kutawala. 7 Wal ipeni wote haki zao; mtu wakodi mlipe kodi; na mtoza ushuru mli pe ushuru; astahilie kunyenyekewa, mnyenyekee; astahiliye hesh ima, mheshimu.
Warumi13
 
Hivi hii jamii forum ni genge la mabeberu ila watanzania watawajibu 28/oktoba hamtaamini watumwa wakubwa nyie
 
Ukiweza kuthibitisha hayo uliyoyaandika hapo juu???

Imeandikwa..... "Kila mtu hana budi kutii serikali inayotawala. Kwa maana hakuna mamlaka isiyotoka kwa Mungu; na serikali zote zilizopo zimewekwa na Mungu. 2 Kwa hiyo anayepinga mamlaka inayotawala ana pinga chombo kilichowekwa na Mungu; na watu wanaoasi watajiletea hukumu. 3 Kwa maana watawala hawatishi watu wanaotenda mema bali wale wanaotenda maovu. Kama hupendi kuishi kwa kumwogopa mwenye mamlaka, basi tenda mema naye atakusifu. 4 Maana mwenye mamlaka ni mtumishi wa Mungu kwa manufaa yako. Lakini kama ukitenda maovu, basi ogopa kwa maana hatembei na silaha bure. Yeye ni mtumishi wa Mungu anayetekeleza adhabu ya Mungu juu ya watenda maovu. 5 Kwa hiyo ni lazima kutii wenye mamlaka, si kwa sababu ya kuogopa adhabu tu bali pia kwa ajili ya dhamiri.
6 Kwa sababu hiyo hiyo mnalipa kodi, kwa maana watawala ni watumishi wa Mungu ambao hutumia muda wao wote kutawala. 7 Wal ipeni wote haki zao; mtu wakodi mlipe kodi; na mtoza ushuru mli pe ushuru; astahilie kunyenyekewa, mnyenyekee; astahiliye hesh ima, mheshimu.
Warumi13
Unataka uthibitisho wa lipi hapo? Kila kitu kiko wazi. Unadhani Mo alitekwaje? Kwa sababu gani? Kwa maagizo ya nqni?

Unadhani Azory Gwanda, Ben Sa8, Ney wa Mitego, n.k walitekwaje? Kwasabb gani? Kwa maagizo ya nqni?

Unadhani Lisu alipigwa risasi kwa maagizo ya nani? Kwann Magufuli alikataza kumuombea Lisu, kumchangia damu, kumtibia na hata akamvua ubunge?

Wafanyabiashara wa maduka ya fedha za kigeni waliporwa fedha zao mpk leo mpk kesho fedha zao hazijarejeshwa.

Kabendera, mwandishi wa habari aliteswa kama mnyama bila kosa lolote. Uonevu tu.

Unataka uthibitisho gani?
 
RAIS wa Jamuhuri ya Muunguno wa Tanzania John Magufuli hii leo anatarajiwa kupokea gawio la Sh Bilion 100 kutoka Kampuni ya Madini ya Twiga inayomilikiwa kwa ubia na Kampuni ya Barrick Gold Mine na Serikali ya Tanzania.

Tukio linafanyika katika ukumbi wa mikutano wa kimataifa wa Julius Nyerere.

========

Rais Magufuli: Siku za nyuma nilipokuwa nikisema #Tanzania ni tajiri watu walikuwa wananishangaa kwa sababu tulitaka hata kujenga vyoo vya wanafunzi wetu tulitaka mfadhiri

> Akifungua matundu 12 ya choo tunampigia makofi, anachimba matundu kumbe chini pale kuna Almasi

Rais Magufuli: Nawashukuru timu ya maridhiano, chini ya Prof. Kabubi, Gavana na wengine, hawa ndio wamefanya tupate hizi fedha

>Sababu ya unyeti wa mazungumzo ilibidi wakati mwingine walale ofisini, wanakesha wakizungumza, saa nyingine tuliwafungia wasirubuniwe na matajiri

Rais Magufuli: Kupatikana kwa hizi Bilioni 100, nafahamu kama ni uwekezaji wa matrilioni ya pesa, nyie mna 84% sisi tuna 16% pekee lakini faida tunagawana 50% kwa 50%

> Ndiyo tumeanza, najua mtakapopiga mahesabu vizuri zitakuwa nyingi zaidi, naomba na zenyewe zije haraka

Rais Magufuli: Nawashukuru timu ya maridhiano chini ya Prof. Kabudi, Gavana na wengine. Hawa ndio wamefanya tupate hizi fedha

> Sababu ya unyeti wa mazungumzo ilibidi wakati mwingine walale ofisini, wanakesha wakizungumza. Saa nyingine tuliwafungia wasirubuniwe na matajiri

Rais Magufuli: Kufanya mazungumzo na kampuni kama Barrick, it was not [an] easy job! Walikuwa na ma-lawyer, walikuwa na watu wa kila aina lakini waligonga mwamba kwa hawa vijana. Makubaliano haya si mepesi. Mnakuwa na share ya permanent. Ni mkataba wa aina yake wa madini katika Afrika. Ninapozungumza na marais wenzangu wananiuliza: ‘How did you do it?’, ‘How did you manage it?’ – wanashangaa.

Rais Magufuli: Miongoini mwa sababu zilizofanya tusinufaike na Madini yetu ni udhibiti mdogo katika usafirishaji wa Madini ghafi, wizi na utoroshaji wa Madini

> Baada ya Serikali ya awamu ya 5 kuingia madarakani, tulianza kuchukua hatua ikiwemo kusitisha usafirishaji wa mchanga

Rais Magufuli: Tumeimarisha Shirika la STAMICO ambalo lilikuwa lifutwe kwasababu halikuwahi kuleta faida. Tuliliwezesha kupata mitambo ya kisasa ya uchongaji

> Kwa sasa STAMICO inakamilisha ujenzi wa mtambo wa kusafisha dhahabu Mwanza ambao utakuwa unasafisha kilo 480 kwa siku

FUATILIA LIVE:

 
Haya yote ni kiki za kampeni ,tuko na lissu zamu hii hizo hela hata upokee chooni hatutoi kiki
 
Ukisikia kufanywa wajinga ndio huku. Kampuni imeanzishwa January 2020, Leo in the middle of October tayari imesha fanya funga hesabu za mwaka, wakaguzi wameshapitia na tayari kutoa GAWIO lake?
Hii kampuni inaendeshwa kama genge LA Biriani la Mariamu Biriani pale Ilala?
Huwezi kufanya ubia mkubwa namna hiyo na kampuni ya kimataifa kama Barrick kisha mkaendesha mahesabu kihuni namna hiyo ambavyo ambavyo hata kampuni mbovu kama TAZARA tuu hawawezi fanya huo uhuni.
Wapi ripoti ya Bodi ya wakurugenzi kuhusu kupitisha gawio hilo?
Anyway, hesabu za TWIGA zinafungwa kila baada ya mwezi au miezi sita badala ya mwaka?
Sisi sio washamba kama nyie!
View attachment 1598875
 
Dar es Salaam, Tanzania – Twiga Minerals Corporation, the joint venture between the Tanzanian government and Barrick Gold Corporation (NYSE:GOLD)(TSX:ABX), has paid a maiden interim cash dividend of $250 million in line with Barrick’s commitment to generate value for all stakeholders through the 50/50 partnership.

Since Barrick took over the former Acacia Mining’s assets in Tanzania just over a year ago, it has paid approximately $205 million to the government in taxes, royalties and dividends in addition to the first payment tranche under the two parties’ agreement to settle pre-Barrick disputes.

Paskali
Mkuu, kama tunaambulia S 200 million kwa mwaka wakati tuna shares, hivi zile $ 198 Billion zilitoka wa bila shares? Ni sawa na mtu unamdai million 10 halafu anuka 10000 au anakununulia bia unafurahia kwamba tunamahusiano mazuri!!

Ningekuwa ni mimi ningengangania tu zile Billion 198 na kuwaachia madini hata wachimbe mpaka siku ya mwisho wa dunia!!
 
RAIS wa Jamuhuri ya Muunguno wa Tanzania John Magufuli hii leo anatarajiwa kupokea gawio la Sh Bilion 100 kutoka Kampuni ya Madini ya Twiga inayomilikiwa kwa ubia na Kampuni ya Barrick Gold Mine na Serikali ya Tanzania.

Tukio linafanyika katika ukumbi wa mikutano wa kimataifa wa Julius Nyerere.

========

Rais Magufuli: Siku za nyuma nilipokuwa nikisema #Tanzania ni tajiri watu walikuwa wananishangaa kwa sababu tulitaka hata kujenga vyoo vya wanafunzi wetu tulitaka mfadhiri

> Akifungua matundu 12 ya choo tunampigia makofi, anachimba matundu kumbe chini pale kuna Almasi

Rais Magufuli: Nawashukuru timu ya maridhiano, chini ya Prof. Kabubi, Gavana na wengine, hawa ndio wamefanya tupate hizi fedha

>Sababu ya unyeti wa mazungumzo ilibidi wakati mwingine walale ofisini, wanakesha wakizungumza, saa nyingine tuliwafungia wasirubuniwe na matajiri

Rais Magufuli: Kupatikana kwa hizi Bilioni 100, nafahamu kama ni uwekezaji wa matrilioni ya pesa, nyie mna 84% sisi tuna 16% pekee lakini faida tunagawana 50% kwa 50%

> Ndiyo tumeanza, najua mtakapopiga mahesabu vizuri zitakuwa nyingi zaidi, naomba na zenyewe zije haraka

Rais Magufuli: Nawashukuru timu ya maridhiano chini ya Prof. Kabudi, Gavana na wengine. Hawa ndio wamefanya tupate hizi fedha

> Sababu ya unyeti wa mazungumzo ilibidi wakati mwingine walale ofisini, wanakesha wakizungumza. Saa nyingine tuliwafungia wasirubuniwe na matajiri

Rais Magufuli: Kufanya mazungumzo na kampuni kama Barrick, it was not [an] easy job! Walikuwa na ma-lawyer, walikuwa na watu wa kila aina lakini waligonga mwamba kwa hawa vijana. Makubaliano haya si mepesi. Mnakuwa na share ya permanent. Ni mkataba wa aina yake wa madini katika Afrika. Ninapozungumza na marais wenzangu wananiuliza: ‘How did you do it?’, ‘How did you manage it?’ – wanashangaa.

Rais Magufuli: Miongoini mwa sababu zilizofanya tusinufaike na Madini yetu ni udhibiti mdogo katika usafirishaji wa Madini ghafi, wizi na utoroshaji wa Madini

> Baada ya Serikali ya awamu ya 5 kuingia madarakani, tulianza kuchukua hatua ikiwemo kusitisha usafirishaji wa mchanga

Rais Magufuli: Tumeimarisha Shirika la STAMICO ambalo lilikuwa lifutwe kwasababu halikuwahi kuleta faida. Tuliliwezesha kupata mitambo ya kisasa ya uchongaji

> Kwa sasa STAMICO inakamilisha ujenzi wa mtambo wa kusafisha dhahabu Mwanza ambao utakuwa unasafisha kilo 480 kwa siku

FUATILIA LIVE:

Kuna watu wanapenda publicity, duh okay basi na kina Mkulima stain tunavyomlipa kila mwezi bilioni mbili muwe mnaonyesha live
 
Dar es Salaam, Tanzania – Twiga Minerals Corporation, the joint venture between the Tanzanian government and Barrick Gold Corporation (NYSE:GOLD)(TSX:ABX), has paid a maiden interim cash dividend of $250 million in line with Barrick’s commitment to generate value for all stakeholders through the 50/50 partnership.

Since Barrick took over the former Acacia Mining’s assets in Tanzania just over a year ago, it has paid approximately $205 million to the government in taxes, royalties and dividends in addition to the first payment tranche under the two parties’ agreement to settle pre-Barrick disputes.

Paskali
Hivi Paskali.. tufafanulie kidogo,

Mwanzo ilikuwa Tsh Trillioni 460 tukaambiwa hii ndiyo kodi wanayodaiwa kwa kuikwepa miaka yote. Mdau mmoja akakokotoa akaona kila mtz atapata NOAH

Baadaye ikawa Tsh billioni 300 tukaambiwa hii ndiyo 'kishikauchumba' kwani ile trillioni 460 "wamewasamehe"

Leo ni Tsh billioni 100 tunaambiwa hii ni "gawio"

Swali, ile billioni 300 ulipaji ukoje ratiba yake? NOAH tuifute kabisa kwa akili zetu?
Halafu kama una miliki 16% unapataje 50/50 ya faida ya kampuni?
 
Unataka uthibitisho wa lipi hapo? Kila kitu kiko wazi. Unadhani Mo alitekwaje? Kwa sababu gani? Kwa maagizo ya nqni?

Unadhani Azory Gwanda, Ben Sa8, Ney wa Mitego, n.k walitekwaje? Kwasabb gani? Kwa maagizo ya nqni?

Unadhani Lisu alipigwa risasi kwa maagizo ya nani? Kwann Magufuli alikataza kumuombea Lisu, kumchangia damu, kumtibia na hata akamvua ubunge?

Wafanyabiashara wa maduka ya fedha za kigeni waliporwa fedha zao mpk leo mpk kesho fedha zao hazijarejeshwa.

Kabendera, mwandishi wa habari aliteswa kama mnyama bila kosa lolote. Uonevu tu.

Unataka uthibitisho gani?
Siwezi nadhani kwamba walitekwa na rais sababu hata wewe anayetaka nadhani hivyo huna uthibitisho wa yeye kuwateka au kutoa maagizo.
Ulimuombea Tundu nyumbani kwako au kwenye nyumba ya ibada unayoamini ukaja kuzuiwa usiombe?
Ulienda kutoa mchango wa damu hospitalini ukakataliwa au ulitaka uwekewe mrija itoke kwako iingie kwa lisu direct?
Unazijua sababu za hao wafanyabiashara wa fedha za kigeni unaosema waliporwa? Walipokua wanaipora serikali uliwahi kusema?
Unajua alichokiri kabendera au unaongea uliposikiasikia tuu?

Tukiacha ubinafsi tunaweza fanikiwa zaidi
 
Back
Top Bottom