NMB yaipa Serikali Gawio la Tsh. Bilioni 45.5

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Apr 18, 2017
2,812
11,989
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akishiriki hafla ya NMB kukabidhi Gawio kwa Serikali na kusherekea Miaka 25 ya Safari ya Mafanikio ya Benki ya NMB katika Ukumbi wa Mlimani City leo 17 Juni, 2023.



Akizungumza kwenye halfa hiyo, Afisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya NMB Ruth Zaipuna amemshukuru Rais kwa kuhuduria na kupokea gawio kwa Serikali kutoka Benki hiyo.

Katika kipindi cha miaka 25 ya Benki hii, ilianza kama Benki ndogo ikiwa na mtandao wa matawi 97 nchini bila kuwa na ATM wala mawakala.

IMG_7640.jpeg

Ruth Zaipuna, Afisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya NMB
Mwaka 2005, Serikali ya Tanzania ilibinafsisha kwa kuuza hisa ya 49% na mwaka 2008 ilipunguza kisa zake zingine na kufanya iorodheshe kwenye soko la hisa la Dae es Salaam ikiwa na hisa 31.8%

Sasa ina matawi 227 Nchini, ATM 781, Mawakala 23679 na Akaunti Milioni 6.3 Nchi nzima. Hii inafanya kuwa benki yenye akaunti nyingi zaidi kuliko benki zingine Tanzania na Mwaka 2022 pekee, benki hii ilisajili akaunti mpya milioni 1.2.

Benki hii itatoa gawio la Bilioni 45.5 kwa Serikali na tayari imeshawekwa kwenye Akaunti ya hazina na kwa ujumla, bilioni 143.1 zimetolewa kwa wanahisa wote mwaka huu.

Aidha, kwa mwaka 2022, NMB imelipa kodi ya tsh bilioni 453 Serikali.

Katika kusherekea miaka 25 ya Benki hii, Zaipuna amesema tayari Bilioni 2.5 kujenga shule ya mfano kwenye mkoa na eneo atakalopendekeza Rais Samia.

Rais Samia ameipongeza Bodi ya Wakurugenzi, Menejimenti na Wafanyakazi wote wa NMB kwa kazi kubwa waliyofanya kwa kuwa Benki kiongozi nchini kwa kuzalisha faida, na akiwa ya 3 Kwenye Ukanda wa Afrika Mashafiki kwa Kutengeneza faida kubwa.

Aidha, Serikali imeanza kufanya tathimini ya Mashirika yote ya Umma na yale ambayo Serikali ina hisa kubwa ili kubaini mashirika yasiyo na faida na yaliyoshindwa kujiendesha yakiitia hasara Serikali yafutwe, yapewe miongozo jinsi ya kujiendesha au yasaidiwe ili kwa pamoja wote wazalishe faida.

Amesema lengo la Serikali kuanzisha mashirika hayo ni kuisaidia kuzalisha fedha na si mashirika kula serikalini bila kurejesha faida na mengi yakiwa ya aina hii.

Rais Samia amewataka wananchi wanaopatiwa mikopo na benki hiyo bila dhamana warudishe imani hiyo ili kutoiua au kuiangusha.
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akishiriki hafla ya NMB kukabidhi Gawio kwa Serikali na kusherekea Miaka 25 ya Safari ya Mafanikio ya Benki ya NMB katika Ukumbi wa Mlimani City leo 17 Juni, 2023.


Hongerq sana NMB na CRDB mashirika mengine ya serikali igeni hawa magiant wawili kwenye utendaji.
Hongera pia serikali mnapata magawio bila kulazimishana.
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akishiriki hafla ya NMB kukabidhi Gawio kwa Serikali na kusherekea Miaka 25 ya Safari ya Mafanikio ya Benki ya NMB katika Ukumbi wa Mlimani City leo 17 Juni, 2023.



Akizungumza kwenye halfa hiyo, Afisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya NMB Ruth Zaipuna amemshukuru Rais kwa kuhuduria na kupokea gawio kwa Serikali kutoka Benki hiyo.

Katika kipindi cha miaka 25 ya Benki hii, ilianza kama Benki ndogo ikiwa na mtandao wa matawi 97 nchini bila kuwa na ATM wala mawakala.

View attachment 2660342
Ruth Zaipuna, Afisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya NMB
Mwaka 2005, Serikali ya Tanzania ilibinafsisha kwa kuuza hisa ya 49% na mwaka 2008 ilipunguza kisa zake zingine na kufanya iorodheshe kwenye soko la hisa la Dae es Salaam ikiwa na hisa 31.8%

Sasa ina matawi 227 Nchini, ATM 781, Mawakala 23679 na Akaunti Milioni 6.3 Nchi nzima. Hii inafanya kuwa benki yenye akaunti nyingi zaidi kuliko benki zingine Tanzania na Mwaka 2022 pekee, benki hii ilisajili akaunti mpya milioni 1.2.

Benki hii itatoa gawio la Bilioni 45.5 kwa Serikali na tayari imeshawekwa kwenye Akaunti ya hazina na kwa ujumla, bilioni 143.1 zimetolewa kwa wanahisa wote mwaka huu.

Aidha, kwa mwaka 2022, NMB imelipa kodi ya tsh bilioni 453 Serikali.

Katika kusherekea miaka 25 ya Benki hii, Zaipuna amesema tayari Bilioni 2.5 kujenga shule ya mfano kwenye mkoa na eneo atakalopendekeza Rais Samia.

Hiyo shule ya bilioni 2.5 ijengwe katikati ya nchi 'Dodoma' ili ifikike kirahisi na wananchi kutoka kila pembe...wanasiasa wasije jipendelea maeneo waliyozaliwa
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akishiriki hafla ya NMB kukabidhi Gawio kwa Serikali na kusherekea Miaka 25 ya Safari ya Mafanikio ya Benki ya NMB katika Ukumbi wa Mlimani City leo 17 Juni, 2023.



Akizungumza kwenye halfa hiyo, Afisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya NMB Ruth Zaipuna amemshukuru Rais kwa kuhuduria na kupokea gawio kwa Serikali kutoka Benki hiyo.

Katika kipindi cha miaka 25 ya Benki hii, ilianza kama Benki ndogo ikiwa na mtandao wa matawi 97 nchini bila kuwa na ATM wala mawakala.

View attachment 2660342
Ruth Zaipuna, Afisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya NMB
Mwaka 2005, Serikali ya Tanzania ilibinafsisha kwa kuuza hisa ya 49% na mwaka 2008 ilipunguza kisa zake zingine na kufanya iorodheshe kwenye soko la hisa la Dae es Salaam ikiwa na hisa 31.8%

Sasa ina matawi 227 Nchini, ATM 781, Mawakala 23679 na Akaunti Milioni 6.3 Nchi nzima. Hii inafanya kuwa benki yenye akaunti nyingi zaidi kuliko benki zingine Tanzania na Mwaka 2022 pekee, benki hii ilisajili akaunti mpya milioni 1.2.

Benki hii itatoa gawio la Bilioni 45.5 kwa Serikali na tayari imeshawekwa kwenye Akaunti ya hazina na kwa ujumla, bilioni 143.1 zimetolewa kwa wanahisa wote mwaka huu.

Aidha, kwa mwaka 2022, NMB imelipa kodi ya tsh bilioni 453 Serikali.

Katika kusherekea miaka 25 ya Benki hii, Zaipuna amesema tayari Bilioni 2.5 kujenga shule ya mfano kwenye mkoa na eneo atakalopendekeza Rais Samia.

Safi sana,matokeo ya faida walivyopata baada ya mazingira mazuri ya biashara yaliyowekwa na awamu ya 6..

Faida hii haijawahi tokea,hata CRDB imeipa Serikali gawio noni Kwa kuvunja rekodi ya faida,hivyo hivyo Kwa Vodacom.
 
Wananyonya sana wafanyakazi faida wanagawia serikali. Kumbe kwa mafweza hayo mengi walikuaa wanaweza kabisa kupunguza Riba kwenye mikopo yao
Wajasiriamali na wafanyabiashara wote hu-minimize costs ili ku-maximize profit. That's how it works all-over the world.
 
Back
Top Bottom