Tanzania tunanunulia wapi/nchi gani Internet?

Tanzania tunanunulia wapi/nchi gani Internet?

Kiukweli hao posta wanabebwa tu na serikali ila ni kama imejifia tu.
Maana siku hizi tunatumia email na simu kuwasiliana,kutuma pesa tunatumia Mpesa.
Labda kutuma vifurushi kimataifa na bado kuna DHL ambao ndio wako smart kwa hiyo task.
Kutuma pesa kimataifa kuna Western union inafanya hiyo kazi.
Ishu za kutuma barua siku hizi ni very rare au hakuna
Vifurushi wakati mwingine tunatumia mabus na malori na vinafika pasi na shaka.
 
Zilikuwepo mkuu, buzz na tritel zilikuwa 2g (ilianza 1991 hii 2g) ambayo tayari ni Digital na sauti na sms zinakuwa converted kuwa data(bits). Nyuma ya Hapo ndio walikuwa wanatumia Analog ambayo ilikuwa kama unavyoona Radio call za Police, hizi zilikuwa ndio hazijaunganishwa unapiga tu simu kwenye range ya Mnara.
Iv redio call wanakuag na process za kuunga bundle au wao n kupiga tu na kuongea free
 
Kumbe duniani Bado sana! Bado tunatumia mi waya!
Hizo optical fibres mkuu sio zile fibres za copper! Hizi zinazosambaza internet duniani zimeundwa kwa technology ya maana sana, optical fibers hizi zinatumia light kutransfer data! Si unajua mwanga speed ake? Ingia Google/Hasa YouTube tafuta channel inaitwa Learn Engineering kuona venye zimetengenezwa ndo utaelewa kwanini tunatumia fibres na sio satellite, Learn Engineering wamechimbua kila kitu kuhusu hizi technologies za mawasiliano na internet!

 
Zilikuwepo mkuu, buzz na tritel zilikuwa 2g (ilianza 1991 hii 2g) ambayo tayari ni Digital na sauti na sms zinakuwa converted kuwa data(bits). Nyuma ya Hapo ndio walikuwa wanatumia Analog ambayo ilikuwa kama unavyoona Radio call za Police, hizi zilikuwa ndio hazijaunganishwa unapiga tu simu kwenye range ya Mnara.
Mkuu hivi hawa Tritel washaenda wapi na walikua wanafanya aje kazi? Nakumbuka back in 2015 nilkua nasoma Udom pale nilkua natumia Vodacom kuna muda mtandao ulikua unazingua nikiwa Room sasa nikawa naona voda ikizingua automatic ina roam kwenye Tritel na mtandao unakua na nguvu balaa...
 
Mkuu hivi hawa Tritel washaenda wapi na walikua wanafanya aje kazi? Nakumbuka back in 2015 nilkua nasoma Udom pale nilkua natumia Vodacom kuna muda mtandao ulikua unazingua nikiwa Room sasa nikawa naona voda ikizingua automatic ina roam kwenye Tritel na mtandao unakua na nguvu balaa...
Hii minara sijui ni ya serikali? Nafikiri hata smart walikuwa wanatumia hii minara.

Tritel kama mtandao wa simu ulikufa siku nyingi.

Mhandisi Mzalendo
 
Hii minara sijui ni ya serikali? Nafikiri hata smart walikuwa wanatumia hii minara.

Tritel kama mtandao wa simu ulikufa siku nyingi.

Mhandisi Mzalendo
Duuh kama ulikufa basi ni siku nyingi sana, make kwa Dodoma voda ilkua inasumbua sana kule chuoni lakini iki roam kwenye Tritel nilikua napata speed nzuri sana ya 3G na mtandao ulikua unasoma Tritel.com
 
Duuh kama ulikufa basi ni siku nyingi sana, make kwa Dodoma voda ilkua inasumbua sana kule chuoni lakini iki roam kwenye Tritel nilikua napata speed nzuri sana ya 3G
Hata sisi tumeutumia sana Udom, kuna kipindi meli sijui iligonga fiber internet ikawa ya tabu ulituokoa sana.

Upo pia tarime
 
hakuna eneo maalumu maana kazi yake ni kuzungusha tu hizo data kwenda maeneo mbalimbali, mfano

- unaangalia youtube, umesearch video ya kiba, ile request yako itapelekwa na waya hadi server za youtube marekani, kisha kule marekani itachukuliwa ile video na huo waya na kuletwa hadi Tanzania.

-unachat na rafiki yako china kwa snapchat, inamaana waya utapeleka msg yako kwenye server za snapchat marekani, kisha waya mwengine utachukua na kumpelekea msg yule rafiki yako wa china

hivyo kazi za hizo waya ni kusafirisha tu taarifa baina ya watumiaji na servers mbalimbali duniani, internet inazunguka dunia nzima hakuna aneimiliki ni kama vile barabara, Tanzania tuna miundo mbinu yetu, Kenya wana yao, Usa wana yao, China wana yao etc then kuna makampuni ya kimataifa yanaunganisha miundo mbinu ya nchi mbalimbali pamoja
Kwahiyo baharini kuna nyaya za kwenda maeneo tofauti tofauti? Si zitakuwa nyingi sana
 
Kwahiyo baharini kuna nyaya za kwenda maeneo tofauti tofauti? Si zitakuwa nyingi sana

Screenshot_20210107-132038_1610015118055.jpg
Screenshot_20210107-132304_1610015134742.jpg
 
Bonge la Shule sasa wakuu nawapataje hao Zuku na je nitahitaji kuwa na nini zaidi ili waweze kuniletea Internet? Na gharama zao za bandle mfano mbps 10 kwa matumizi ya ofsini kwangu tu unlimited inaweza kuwa Tsh ngap?
 
Hakuna mmiliki wa internet bali kuna wamiliki wa resources za internet kama izo switch, cables, modems,routers and server
 
hakuna eneo maalumu maana kazi yake ni kuzungusha tu hizo data kwenda maeneo mbalimbali, mfano

- unaangalia youtube, umesearch video ya kiba, ile request yako itapelekwa na waya hadi server za youtube marekani, kisha kule marekani itachukuliwa ile video na huo waya na kuletwa hadi Tanzania.

-unachat na rafiki yako china kwa snapchat, inamaana waya utapeleka msg yako kwenye server za snapchat marekani, kisha waya mwengine utachukua na kumpelekea msg yule rafiki yako wa china

hivyo kazi za hizo waya ni kusafirisha tu taarifa baina ya watumiaji na servers mbalimbali duniani, internet inazunguka dunia nzima hakuna aneimiliki ni kama vile barabara, Tanzania tuna miundo mbinu yetu, Kenya wana yao, Usa wana yao, China wana yao etc then kuna makampuni ya kimataifa yanaunganisha miundo mbinu ya nchi mbalimbali pamoja
What produce internet!? What is internet!? Source of internet!??
 
Back
Top Bottom