Tanzania tumeikosea nini Marekani?

Tanzania tumeikosea nini Marekani?

Marekani imetoa pesa dollar ml 37 kusaidia nchi masikini 25 afrika kupambana na corona cha kushangaza sisi hatupo huku Rwanda na Kenya wamepokea pesa hizo kupitia shirika la USAID nimeshangaa na kujiuliza Kenya wamepewa kama bili I.2 hivi je kwanini sio Tanzania tena? tuna tatizo na Marekani?

Au ile kwamba sisi ni donar country tayari imeshawafikia hata Marekani?
Msaada upewe na USA halafu Kura umpe China!! Mwambie mchina akupe.
THis is called biting the hand which feeds you= kuuma meno mkono unaokulisha
 
Marekani imetoa pesa dollar ml 37 kusaidia nchi masikini 25 afrika kupambana na corona cha kushangaza sisi hatupo huku Rwanda na Kenya wamepokea pesa hizo kupitia shirika la USAID nimeshangaa na kujiuliza Kenya wamepewa kama bili I.2 hivi je kwanini sio Tanzania tena? tuna tatizo na Marekani?

Au ile kwamba sisi ni donar country tayari imeshawafikia hata Marekani?
Mbona Wenyewe wameshindwa kujisaidia, achana na akili za Kiumatonya fanya Kazi na Chukua tahadhali ya Covid-19 kwa kufuata maelekezo ya wataalam wa Afya.
 
Hii ni hatua ya kubwa la mabeberu, kuonyesha kuwa atatuadhibu kwa kutunyima vimisaada mbuzi vyake ili tumpigie magoti!.
We don't want ubeberu, uwe ni wa Americans, UK, UE or whoever with their blood stinking money!.
P
Hivi wangetupatia hizo pesa, bado tungesema ni vimsaada mbuzi? Bado tungesema zinanuka damu?
Haya siyo maneno ya mkosaji?


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Marekani imetoa pesa dollar ml 37 kusaidia nchi masikini 25 afrika kupambana na corona cha kushangaza sisi hatupo huku Rwanda na Kenya wamepokea pesa hizo kupitia shirika la USAID nimeshangaa na kujiuliza Kenya wamepewa kama bili I.2 hivi je kwanini sio Tanzania tena? tuna tatizo na Marekani?

Au ile kwamba sisi ni donar country tayari imeshawafikia hata Marekani?
Hivi ofisi za Ufipa ziliwekewa karantini baada ya mtoto wa Mwenyekiti kukutwa na Corona?

Tujikinge na Corona Sisi wenyewe kwanza kwani hata USA wenyewe sasa hivi hawajuwi wafanye nini, Vifo vya Corona kwao vinaongezeka kwa kasi sana.
 
Marekani imetoa pesa dollar ml 37 kusaidia nchi masikini 25 afrika kupambana na corona cha kushangaza sisi hatupo huku Rwanda na Kenya wamepokea pesa hizo kupitia shirika la USAID nimeshangaa na kujiuliza Kenya wamepewa kama bili I.2 hivi je kwanini sio Tanzania tena? tuna tatizo na Marekani?

Au ile kwamba sisi ni donar country tayari imeshawafikia hata Marekani?
Tanzania hatu hitaji huo msaada, Mgufuli alisha chukua hatua mapema kudhiti huo ugonjwa.
 
Hivi ofisi za Ufipa ziliwekewa karantini baada ya mtoto wa Mwenyekiti kukutwa na Corona?

Tujikinge na Corona Sisi wenyewe kwanza kwani hata USA wenyewe sasa hivi hawajuwi wafanye nini, Vifo vya Corona kwao vinaongezeka kwa kasi sana.
Ati kwao vinaongezeka kwa kasi sana. Leo Tanzania 94, two weeks ago was ZERO, hiyo siyo kasi? Elewa kwetu huku upimaji ni ule wa mtu kwenda hospitali! Have you imagined in two weeks time what is going to happen?
 
Marekani imetoa pesa dollar ml 37 kusaidia nchi masikini 25 afrika kupambana na corona cha kushangaza sisi hatupo huku Rwanda na Kenya wamepokea pesa hizo kupitia shirika la USAID nimeshangaa na kujiuliza Kenya wamepewa kama bili I.2 hivi je kwanini sio Tanzania tena? tuna tatizo na Marekani?

Au ile kwamba sisi ni donar country tayari imeshawafikia hata Marekani?
Inawezekana wanawapa wale wenye LIUGONJWA na si wenye KAUGONJWA...
 
Hii ni hatua ya kubwa la mabeberu, kuonyesha kuwa atatuadhibu kwa kutunyima vimisaada mbuzi vyake ili tumpigie magoti!.
We don't want ubeberu, uwe ni wa Americans, UK, UE or whoever with their blood stinking money!.
P
Kaka Paskali, hapa umechemka..!!!
Zitto alipoandika ile barua, kauli za viongozi unazikumbuka..!?
 
Marekani imetoa pesa dollar ml 37 kusaidia nchi masikini 25 afrika kupambana na corona cha kushangaza sisi hatupo huku Rwanda na Kenya wamepokea pesa hizo kupitia shirika la USAID nimeshangaa na kujiuliza Kenya wamepewa kama bili I.2 hivi je kwanini sio Tanzania tena? tuna tatizo na Marekani?

Au ile kwamba sisi ni donar country tayari imeshawafikia hata Marekani?
Wewe si ndie uliyeleta uzi humu ukitamani corona iingie nchini? Sasa unalialia nn? Tulia dawa ipenye! Na Mimi naomba isikose kukutembelea na familia yako
 
Marekani imetoa pesa dollar ml 37 kusaidia nchi masikini 25 afrika kupambana na corona cha kushangaza sisi hatupo huku Rwanda na Kenya wamepokea pesa hizo kupitia shirika la USAID nimeshangaa na kujiuliza Kenya wamepewa kama bili I.2 hivi je kwanini sio Tanzania tena? tuna tatizo na Marekani?

Au ile kwamba sisi ni donar country tayari imeshawafikia hata Marekani?
Sisi tumechangishana matajiri wetu mpaka sasa tuna bilioni sita na ushee
Hakuna haja ya kulilia bilioni moja ya USAID
 
Mnaosema kuwa tunapaswa kujivunia kutokuwa watu wa kusaidiwa, mnajua kuwa hadi sasa tunahitaji dola milioni 197 kupambana na mlipuko wa maambukizi ya virusi vya COVID19,barua ya kuomba msaada ilishaenda mezani kwa IMF.
Tusijazane ujinga, tunahitaji misaada sana, hii pesa ya US tungeweza kuongeza vifaa kama vile alivyochangia Rostam. Tuache huu upupu wa MATAGA kuwa we a donor country, Mzee alikuja na fallacy tu, sisi ni masikini sana.
 
Kama wewe ni Mwanaume basi ni aibu kwa Ukoo wako.
Marekani imetoa pesa dollar ml 37 kusaidia nchi masikini 25 afrika kupambana na corona cha kushangaza sisi hatupo huku Rwanda na Kenya wamepokea pesa hizo kupitia shirika la USAID nimeshangaa na kujiuliza Kenya wamepewa kama bili I.2 hivi je kwanini sio Tanzania tena? tuna tatizo na Marekani?

Au ile kwamba sisi ni donar country tayari imeshawafikia hata Marekani?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom