Tanzania tumeikosea nini Marekani?

Tanzania tumeikosea nini Marekani?

Marekani imetoa pesa dollar ml 37 kusaidia nchi masikini 25 afrika kupambana na corona cha kushangaza sisi hatupo huku Rwanda na Kenya wamepokea pesa hizo kupitia shirika la USAID nimeshangaa na kujiuliza Kenya wamepewa kama bili I.2 hivi je kwanini sio Tanzania tena? tuna tatizo na Marekani?

Au ile kwamba sisi ni donar country tayari imeshawafikia hata Marekani?
Marekani hawataniwi, wao wanachukulia kweli

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanini mnapenda misaada . Hii madaa inanikera sana. This is why other continents wanaitharau sana afrika
 
Wasiwasi hao pesa zitaangukia mikononi mwa influence ya makonda ambaye ni more or less wanted in the USA secret courts.
 
Marekani imetoa pesa dollar ml 37 kusaidia nchi masikini 25 afrika kupambana na corona cha kushangaza sisi hatupo huku Rwanda na Kenya wamepokea pesa hizo kupitia shirika la USAID nimeshangaa na kujiuliza Kenya wamepewa kama bili I.2 hivi je kwanini sio Tanzania tena? tuna tatizo na Marekani?

Au ile kwamba sisi ni donar country tayari imeshawafikia hata Marekani?
Ni IMF au USA?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
I think IMF imetoa msaada to those countries because zimefunga business na mambo katika hizo nchi haya function . Tanzania we still active people still conduct business though we don't make much but inatusogeza
 
Mkuu ameshasema msaada wetu unatoka juu mbinguni kwa Mungu, sasa huo wa duniani kutoka kwa jirani wa nini?
 
Marekani imetoa pesa dollar ml 37 kusaidia nchi masikini 25 afrika kupambana na corona cha kushangaza sisi hatupo huku Rwanda na Kenya wamepokea pesa hizo kupitia shirika la USAID nimeshangaa na kujiuliza Kenya wamepewa kama bili I.2 hivi je kwanini sio Tanzania tena? tuna tatizo na Marekani?

Au ile kwamba sisi ni donar country tayari imeshawafikia hata Marekani?
Rais wako ana chuki ya wazi na Marekani, huwa anawaita mabeberu na kwamba hana shida hata ya kwenda kwao yeye ni Tajiri, halafu anawaita wezi, maneno yote yanawafikia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom