Tanzania tumeikosea nini Marekani?

Tanzania tumeikosea nini Marekani?

Marekani imetoa pesa dollar ml 37 kusaidia nchi masikini 25 afrika kupambana na corona cha kushangaza sisi hatupo uku Rwanda na Kenya wamepokea pesa hizo kupitia shirika la USAIDS nimeshangaa na kujiuliza Kenya wamepewa kama bili I.2 hivi je kwanini sio Tanzania tena? tuna tatizo na Marekani?

Au ile kwamba sisi ni donar country tayari imeshawafikia hata Marekani?
Waulize wanadiplomasia kuanzia enzi za Mwalimu hadi awamu zote tujue tulikosea wapi
 
TB mnatibiwa bure kwa fedha zao, Dawa za ukimwi mnapewa bure zimelipiwa na wao. Dawa za maralia mnanunua kwa nusu bei, mnajua nani analipia nusu iliyobaki? Safari hii mwambieni rafiki yenu mchina awasaidie
 
Mimi binafsi,Nalaani hiki kitendo cha kudekezwa Kwa nchi zetu hizi za Africa,

Najua, nitaungwa mkono na wachache hasa ambao wamewahi kutafuta maisha kupitia mikono ya ndugu na jamaa zao, waliishi kama watumwa wakiwa huko, lakini ukiongea nao leo, wengi Wao wametusua maisha kushinda hata watoto wa familia zile walizokuwa wakiishi Kwa mateso na unyanyasaji

Nachoomba, tuwapigeni vita mafisadi wote wanaojilimbikizia Mali na wizi selikarilini, tupigeni vita uzembe mahali popote pale kazini

Tuwakataeni mafisdi wote wanaotoka Vyama Vyote, na tupate viongozi wenye uchungu na nchi, wakali, wasiopendelea, tupate katiba bora, Upinzani wa Vyama uimarishwe, tujenge nchi yetu,

Tena kama ikiwezekana, Vyama vyenyewe vianze kutuletea watu wasio na makandokando, waanze wenyewe kukataa mafisadi kwenye Vyama vyao huko huko kabla hata hawajatuletea huku kuwapigia Kura,

Chama chochote kama ni kikwazo Kwa nchi yetu, tuseme basi,

Tukiweza la kuzuwia wizi na uzembe kazini, hatujitaji misaada[/QUOTE]
 
TB mnatibiwa bure kwa fedha zao, Dawa za ukimwi mnapewa bure zimelipiwa na wao. Dawa za maralia mnanunua kwa nusu bei, mnajua nani analipia nusu iliyobaki? Safari hii mwambieni rafiki yenu mchina awasaidie
Mchango wa US WHO dollar 500m. China 50m. Marekani alipendekeza China iingizwe kwenye kundi la nchi tajiri, China alikusanya vielelezo mbalimbali kuonesha China bado ni nchi maskini. Akakubaliwa.

Wanaosaidiwa na maskini China, wanadai kuwa wao ni matajiri! Lazima uwe mjinga hasa kukubaliana na hilo.

Tanzania ni maskini, watu wake ni maskini lakini wana uwezo wa kuondoka kutoka kwenye umaskini kukiwa na mipango mizuri, na ikatekelezwa kwa weledi.

Utajiri wa kweli upo kichwani.
 
Marekani imetoa pesa dollar ml 37 kusaidia nchi masikini 25 afrika kupambana na corona cha kushangaza sisi hatupo uku Rwanda na Kenya wamepokea pesa hizo kupitia shirika la USAIDS nimeshangaa na kujiuliza Kenya wamepewa kama bili I.2 hivi je kwanini sio Tanzania tena? tuna tatizo na Marekani?

Au ile kwamba sisi ni donar country tayari imeshawafikia hata Marekani?

Jina lako na uzi wako vinafanana. Kumbuka tu hakuna kitu cha bure.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu, umesema kweli tupu, tukikataa wizi unaofanywa na baadhi ya viongozi wanaodhani watazikwa na utajiri wao au kuondoka na maghorofa huko kuzimu, tutaanza kuona mabadiriko ya Kasi huwezi amini, uzembe makazini upigwe vita na kila raia, tupate viongozi wasioona haya juu ya majizi na wenye weledi, mbona umaskini tunaufuta haraka

Mchango wa US WHO dollar 500m. China 50m. Marekani alipendekeza China iingizwe kwenye kundi la nchi tajiri, China alikusanya vielelezo mbalimbali kuonesha China bado ni nchi maskini. Akakubaliwa.

Wanaosaidiwa na maskini China, wanadai kuwa wao ni matajiri! Lazima uwe mjinga hasa kukubaliana na hilo.

Tanzania ni maskini, watu wake ni maskini lakini wana uwezo wa kuondoka kutoka kwenye umaskini kukiwa na mipango mizuri, na ikatekelezwa kwa weledi.

Utajiri wa kweli upo kichwani.
 
We don't want Americans, with their blood stinking money!.
P
Secretary Mike Pompeo last week declared the Administrative Chief of Dar es Salaam Paul Makonda and his wife, Mary Massenge, ineligible for entry into the United States. In a statement released by the US State Department, Pompeo said he was banning Makonda “due to his involvement in gross violations of human rights
 
Back
Top Bottom