Ligaba
JF-Expert Member
- Oct 12, 2018
- 1,071
- 2,889
Kenya wapo ndani, Rwanda wapo ndani, sisi tuko nje tunajitafutia kwa nini tupewe. Tusipende vyote kwa wakati mmoja.Marekani imetoa pesa dollar ml 37 kusaidia nchi masikini 25 afrika kupambana na corona cha kushangaza sisi hatupo huku Rwanda na Kenya wamepokea pesa hizo kupitia shirika la USAID nimeshangaa na kujiuliza Kenya wamepewa kama bili I.2 hivi je kwanini sio Tanzania tena? tuna tatizo na Marekani?
Au ile kwamba sisi ni donar country tayari imeshawafikia hata Marekani?
Sent using Jamii Forums mobile app
