Tanzania tumeikosea nini Marekani?

Tanzania tumeikosea nini Marekani?

Marekani hawataniwi, wao wanachukulia kweli

Sent using Jamii Forums mobile app

Watoto mliozaliwa mwaka 2010 mnawachukulia Marekani kama Mungu wenu. Mnajifanya kuwajua sana wakati akili zenu ndogo tena mmeziweka bond kwa Zitto na Tundu Lissu. Marekani mwenyewe Corona inamnyoosha vizuri tu, nyie mmekalia kukandwa nchi yenu kila kitu kibaya hamna jema hata kidogo
 
Marekani wanakufa na corona km kuku,na bado wanajiita superpower na kuna Watanzania wanawaminia
Watoto mliozaliwa mwaka 2010 mnawachukulia Marekani kama Mungu wenu. Mnajifanya kuwajua sana wakati akili zenu ndogo tena mmeziweka bond kwa Zitto na Tundu Lissu. Marekani mwenyewe Corona inamnyoosha vizuri tu, nyie mmekalia kukandwa nchi yenu kila kitu kibaya hamna jema hata kidogo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Marekani imetoa pesa dollar ml 37 kusaidia nchi masikini 25 afrika kupambana na corona cha kushangaza sisi hatupo huku Rwanda na Kenya wamepokea pesa hizo kupitia shirika la USAID nimeshangaa na kujiuliza Kenya wamepewa kama bili I.2 hivi je kwanini sio Tanzania tena? tuna tatizo na Marekani?

Au ile kwamba sisi ni donar country tayari imeshawafikia hata Marekani?
wanasubiri tuwa donate
 
Kuna Watanzania wanechanganyikiwa mazima ama uwezo wa kufikiri ni mdogo, tutakuwa nchi changa mpaka lini, tukue jamani na tujitegemee
 
Naona wanaishangaa mikakati ya Serikali ya ccm dhidi ya corona ambayo ni Do nothing
Hiyo mikakati yao ya do something mbona kama ndio ina worse outcomes! Au ni mimi ndio mgeni, sijaona wala kushuhudia jirani kifo kilichosababishwa na Covid 19 so far.
 
Hiyo mikakati yao ya do something mbona kama ndio ina worse outcomes! Au ni mimi ndio mgeni, sijaona wala kushuhudia jirani kifo kilichosababishwa na Covid 19 so far.
Kuna mikakati mingi sana kuanzia Lockdown Social distancing Social isolation Herd Immunity namingi asili yake ni Pandemic zilizowahi kupita kuanzia Spanish flu Black death Smallpox polio nk

Ukiagalia data hakuna "Do nothing" iliyofanikiwa

Ukiangalia hiyo mikakati iko baada ya tafiti nyingi ila Do nothing haina utafiti ni sawasawa simba akuvamie halafu utabasamu utegemee asikuzuru na ikitokea Simba huyo kweli asipokuzuru useme umemshinda simba yule
 
Marekani imetoa pesa dollar ml 37 kusaidia nchi masikini 25 afrika kupambana na corona cha kushangaza sisi hatupo huku Rwanda na Kenya wamepokea pesa hizo kupitia shirika la USAID nimeshangaa na kujiuliza Kenya wamepewa kama bili I.2 hivi je kwanini sio Tanzania tena? tuna tatizo na Marekani?

Au ile kwamba sisi ni donar country tayari imeshawafikia hata Marekani?
Wewe unadhani kuwa masikini ni jambo zuri? bora kufa umesimama kuliko kuishi umepiga magoti.
 
Marekani imetoa pesa dollar ml 37 kusaidia nchi masikini 25 afrika kupambana na corona cha kushangaza sisi hatupo huku Rwanda na Kenya wamepokea pesa hizo kupitia shirika la USAID nimeshangaa na kujiuliza Kenya wamepewa kama bili I.2 hivi je kwanini sio Tanzania tena? tuna tatizo na Marekani?

Au ile kwamba sisi ni donar country tayari imeshawafikia hata Marekani?
sisi ni matajiri
 
Paschal bwana: vimisaada mbuzi!! Haya bwana. Haya hivyo muda wa teuzi umeisha. Fuatilia mchakato kama wawezapata jumbo. Teuzi hadi mwakani.
 
Hii kunyimwa misaada ina faida kama tukiona kunyimwa ni fursa ila upande mwingine ina hasara zake...

Acha tujipe muda
 
Kabisa...hii ni tabia ya kipumbavu sana..
Tabia ya kupenda dezo ni mbaya sana...na ukizoea dezo lazima ipo siku itakutokea puani wahenga walisema

Sent using Jamii Forums mobile app
Hii si dezo bali ni msaada wakati wa majanga. Italy, Spain, USA ambazo zimeendelea sana zimepokea misaada toka nchi mbali mbali kupambana na janga la Covid 19. Ukitaka kujua tunahitaji misaada kupambana na Covid 19, tembelea hospitali zenye hawa wagonjwa au hata waulize watumishi wa afya wa vituo hivyo.
 
Hii ni hatua ya kubwa la mabeberu, kuonyesha kuwa atatuadhibu kwa kutunyima vimisaada mbuzi vyake ili tumpigie magoti!.
We don't want ubeberu, uwe ni wa Americans, UK, UE or whoever with their blood stinking money!.
P
Paskali, ukitembelea hospitali zetu kubwa zenye kupambana na hili gonjwa utajua hata msaada kidogo una umuhimu gani. Tuache ushabiki kwenye suala la kufa na kupona.
 
Back
Top Bottom