ina maana freelencer asipofikisha acc 40 atalipwa 70000 si ndio
Ndiyo...na hyo ni b4 tax pia...
ina maana freelencer asipofikisha acc 40 atalipwa 70000 si ndio
Unajua watu humu mna piga kelele bure kwa TPB while its almost all the banks unapewa flat salary lakin unaongezeka kutokna na watu utakao leta barclays free lancer anapata 70000 per month na analipwa kwa commission on top of 70000 kma akileta mteja
sor kwa kila fixd acc team leader na freelancer wanapata ef 10, pia tem leader ni 60 na commision inaanza kuhesabiwa kuanzia acc ya 61, same same kwa freelancer commision kuanzia acc ya 41....leo ndio ilikuwa deadline ya kurudisha mkataba wao...xjui watakuwa wamerudisha wangap kat ya wale 100 wa freelancer
sasa hadi ufungue acc 60 kwa mwezi na usisahau benk yenyewe ya posta,...freelancers laki na 40 before tax...kudadadeki usipofikisha acc 40 sijui 60 unalipwa elfu 60 ....unywele umejitahidi sana kuwateteta lakin hawa jamaa wangefunga benki wabuni new business hii sio kabisa....apo ofc wapi posta, My godness...kule viwandani export zone pale external mishahara yao ni laki na 80..bora liende tu cheeeee
Tanzania postal bank washenz wale, wewe freelnacer ulipwe laki na arobaini? Hapo nauli kwako, pesa ya chakula kwako, na hujui utawapata wapi hao wateja, inakulazimu utembee jiji lote ili utambue maeneo potential, unaishia kumaliza bure sori ya kiatu, na utaanza kuwekeana chuki ndugu jamaa na marafiki wakiwa na shida ya pesa wakikuomba itakubidi uwaambie sina kila siku wakati wanakuona umevaa majezi yao, wakati unachokipata ni siri yako tu, kweli ajira majanga..
Hii bank siipendi niliibiwa pesa zangu kwenye ATM nilipoenda kutoa taarifa wakanambia nimeiba mwenyewe baada ya kunisumbua sana na nenda rudi!hadi leo ni zaidi ya mwaka!nimeamua kuachananao.
Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
Sasa team leader idad ya acc za nini tena, mim nilidhan team leader anakuwa kiongozi wa freelencers
Unajua watu humu mna piga kelele bure kwa TPB while its almost all the banks unapewa flat salary lakin unaongezeka kutokna na watu utakao leta barclays free lancer anapata 70000 per month na analipwa kwa commission on top of 70000 kma akileta mteja
Mkuu lkn kumbuka hii ya TPB ilikua ni 3 months contract,,so ni km wanakutumia wee then ukishawaletea wateja wa kutosha wanakubwaga na maslahi hukuyaona
Pole mkuu, ingawa umemsingizia mtu mwingine, lakini nakushauri vumilia hapo hapo pata uzoefu huku ukiwa unacheki na fursa zingine.
uzoefu atapata mda gani wakati mda wote anakua anakaa kimanati manati akivizia watu wanaotembea awape sumu waingie line..lol
uzoefu atapata mda gani wakati mda wote anakua anakaa kimanati manati akivizia watu wanaotembea awape sumu waingie line..lol
Kumbe kama hujawahi kutembeza vyombo ni vigumu sana kupata commission?
buku bora niwe konda wa daladala