Napingana kabisa na ww....mimi ni mmoja wa waliofanya interview ya freelancer kwa mkoa wa dar na kufanikiwa kupita na pia kwenda kwenye training ambapo mwishoni ndio viwango vya mshahara vilionyeshwa....ninachoweza sema ni ukwel usiofichika kuwa viwango vya utoaj pesa ni vidogo mnoo lakini si kwa kiwango ulichoweka ww...umeongeza chumvi mnoo...ukwel ni kwamba team leader anapewa laki 4 b4 tax deduction...hii ni constant endapo atafanikiwa kufungua acc 60 kwa mwez...akifungua extra acc which means kuanzia 41 and above, analipwa kwa kila acc inayozidi thus ile lak 4 inaongezeka....then hyo 1000 ni kwa kila quick acc itakayoongezeka ambapo hyo acc inafunguliwa na mteja kwa 2000, akifungua acc ya ef 5000 yy anapata ef 2000, na akifungua fixd acc yeye anapata ef 5, so team leader akikomaa kwa mwez anaondoka na zaid ya lak 4....
freelancer wao ndo majanga zaid coz constant kwa mwez ni lak na 40 b4 tax per mwez endapo atafikisha acc 40 na ile nyongeza ya account zinahesabiwa sawa na team leader mf ikizid fixd moja kweny zile 40 anapata kumi yake na inakuwa laki na nusu...kwa wote t.l na freelancer wasipofikisha acc zilizotakiwa yaan 60 na 40 kwa mwez bas wanalipwa nusu ya hela zao.....ni hvyo tu...hyo uliyoisema haipo...japo wanatoa kias kidogo bt mnyonge mnyongeni lakin......