Tanzania Postal Bank (TPB) wanatoa commission tu

narudia tena bora kuwa konda maana simlazimishi mtu kupanda tena uzuri wake wengine wanapanda kupitia madirishani kuliko hiyo ya kumlazimisha mtu afungue account maana kupigwa kupo nje nje
 
nimecheka sana, eti unakaa kimanati manati, nimetoka kufanya interview yao leo, nasubili huo mkataba nijione mwenyewe

usihofu mkuu, mungu atatenda, uwezi jua risiki yako ipo apo apo ...
...ukipata bila shaka we piga kazi
 
Ndugu zangu walipoona nakwenda kufanya interview bank wanaona nitalamba bonge la shavu, kumbe majanga, sijui itakuwaje.

haha haaa haa, aisee! na watu wanavoamini benk wanalipa poa, kumbe ni shidaaa,
 
Waingereza wanasema something is better than nothing......Km unaona ndogo basi kaa kwenu endelea kuomba hata hela ya kununulia magazeti. Au km unadhani gpa inafanya kazi basi baki nayo kwenu. PRINCIPALLY, UKIPATA KAZI NI RAHISI KUPATA KAZI
 
Waingereza wanasema something is better than nothing......Km unaona ndogo basi kaa kwenu endelea kuomba hata hela ya kununulia magazeti. Au km unadhani gpa inafanya kazi basi baki nayo kwenu. PRINCIPALLY, UKIPATA KAZI NI RAHISI KUPATA KAZI

Na mimi nasema hivi safari moja huanzisha nyingine
 
Haya bhana 140000 kweli? Lunch 2000, maji 1000, nauli 1000 mara siku 25 kwa mwezi, nabakiwa na 60000 tu.
 
Wote mnaochangia hapa naona mna deal zenu za kuwaingizia kipato ndo maana mnaponda. Kuna kpndi mliwaponda sana accessbank nashangaa watu ndani ya mwaka wanajenga, mi naona kama umeitwa kazn nenda kuhusu malipo ulitakiwa kujua kabla, watu mnataka freelancer awe sawa na yule wa mkataba mrefu. Mi hata sijui mnajadili nini hapa jamvini. Bao-noite
 
Nimetoka kupewa mkataba jioni hii ishu iko hivi unalipwa kulingana na account utakazofungua(commision) lakini mwisho wa mwez kuna bonus ambayo unaongezewa kulingana na idadi ya account ulizofungua viwango viko hvi:
Quick Account=1000 per account
minor account=2000 per acc
Wadu plus account=5000 per acc
fixed deposit= 10,000 per acc
Call account= 2000 per account

RENUMERATION
kama ukifungua
40+ acc=100,000
20-39 acc=50,000
1-19 acc=1,000

hvy mfano ukawa umefanikiwa kufungua account 40 kwa mwezi na ktk mchanganuo ufuatao, ni mfano tu
Quick account 15=15*1000=15000
wadu account 10=10*5000=50,000
minor account 10=10*2000=20000
fixed deposit 3=3*10,000=30,000
call account 2=2*2000=4000
hapo utapata 119000 kama commision, sasa kwa kuwa ulishafungua acc 40 utapata bonus ya 100,000 hivyo mwisho wa mwezi utapata 219,000/= na unaruhusiwa kufanya shughuli nyingine ilimradi uwe unatimiza mkataba, hvyo juhudi yako ndio itakupa pesa kubwa zaid mfano ukafanikiwa kufungua fixed deposit account 20 (20*10000) wadu acc 30(30*5000)ndani ya mwez hapo utapata laki 3 na nusu ukiongeza na 100,000 ya bonus, unapata laki 4 na nusu kwa mwezi huo.
 
Nimetoka kupewa mkataba jioni hii ishu iko hivi unalipwa kulingana na account utakazofungua(commision) lakini mwisho wa mwez kuna bonus ambayo unaongezewa kulingana na idadi ya account ulizofungua viwango viko hvi:
Quick Account=1000 per account
minor account=2000 per acc
Wadu plus account=5000 per acc
fixed deposit= 10,000 per acc
Call account= 2000 per account

RENUMERATION
kama ukifungua
40+ acc=100,000
20-39 acc=50,000
1-19 acc=1,000

hvy mfano ukawa umefanikiwa kufungua account 40 kwa mwezi na ktk mchanganuo ufuatao, ni mfano tu
Quick account 15=15*1000=15000
wadu account 10=10*5000=50,000
minor account 10=10*2000=20000
fixed deposit 3=3*10,000=30,000
call account 2=2*2000=4000
hapo utapata 119000 kama commision, sasa kwa kuwa ulishafungua acc 40 utapata bonus ya 100,000 hivyo mwisho wa mwezi utapata 219,000/= na unaruhusiwa kufanya shughuli nyingine ilimradi uwe unatimiza mkataba, hvyo juhudi yako ndio itakupa pesa kubwa zaid mfano ukafanikiwa kufungua fixed deposit account 20 (20*10000) wadu acc 30(30*5000)ndani ya mwez hapo utapata laki 3 na nusu ukiongeza na 100,000 ya bonus, unapata laki 4 na nusu kwa mwezi huo.

Acc 40??? is that easyyy wakati bank nyingine target ni acc kumi tu per month ila kuzipata shughuli tena wanalipa kwa values not numbers
 
Silalamiki sina viatu,wenzangu hawana miguu-FA.

Nilipoona hapa nilipo chenga ,kumbe kwa wenzangu ndo shida tu
 
Back
Top Bottom