Acc 40??? is that easyyy wakati bank nyingine target ni acc kumi tu per month ila kuzipata shughuli tena wanalipa kwa values not numbers
Acc 40??? is that easyyy wakati bank nyingine target ni acc kumi tu per month ila kuzipata shughuli tena wanalipa kwa values not numbers
Mzee wanauliza maswali gani Kwa upande wa freelancer me wameniita IRINGA nataka nikafanye kazi za kuzunguka nilishazizoea
Umetumwa we we...sio mpiganaji mwenzetu kabisaa tumekushtukia. Tena mimi nakujua we we. Acha unafiki mambo hayako kulaisi hivyo mtaani. Asa ukizingatia bank yenyewe haijiuzi mtaani... waambie hao maboss wako Wa TPB waache usanii..kama wameamua kweli wanataka kumobilize customer base na kuikuza bank yao basi wajipange upya....ushauri wangu kwao wangefikilia kuanza kulipa tshs 600000 na team leader 750000 wangeona BIG RESULTS NOW
Kama unanijua how sure kuwa nipo tpb... alafu nani kakudanganya mshahara ndo unaleta morali... watu wanamorali ya kazi hata kwa mshahara wa elfu hamsini
Account 40 kwa mwezi chache sana,that means kwa siku ni account 2,kupata wateja wa2 kwa siku hauwezi? Fanyeni kazi vijana kama hamuwezi nipeni dili hilo mie nipige nimechoka kukaa huko umenyeni nataka nije town kuchakalika.
. Hebu tupia huo mkataba wao tuusome mkuu tafadhalisor kwa kila fixd acc team leader na freelancer wanapata ef 10, pia tem leader ni 60 na commision inaanza kuhesabiwa kuanzia acc ya 61, same same kwa freelancer commision kuanzia acc ya 41....leo ndio ilikuwa deadline ya kurudisha mkataba wao...xjui watakuwa wamerudisha wangap kat ya wale 100 wa freelancer
umezoea safi sana, je uko tayari kulipwa 140,000 or less hilo ni swali la kwanza, watakwambia ujielezee mwenyewe kwa ufupi, watakuuliza nin unaelewa maana ya freelencer, utauliza freelencer anatakiwa awepo wapi wakati wa kazi, mwisho watakuuliza mshahara unaotaka raha sana unajipangia tu, nataka laki 8
uzoefu atapata mda gani wakati mda wote anakua anakaa kimanati manati akivizia watu wanaotembea awape sumu waingie line..lol
. Hebu tupia huo mkataba wao tuusome mkuu tafadhali
Mkataba uko kwenye hard copy na ni page 8...so sijui niuekeje hapa sasa....bt labda nijaribu kupiga picha sehemu tu za mkataba huo then nieke hapa...ila hazitokuwa na quality nzur...