Ujerumani yaipa Tanzania msaada wa Tsh. Bilioni 56.3 kuboresha Haki za Binadamu

BARD AI

JF-Expert Member
Jul 24, 2018
3,376
8,118
Serikali kupitia Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha, Dkt. Natu El-maamry Mwamba, imetia saini ya Mkataba huo kupitia Shirikisho la Jamhuri ya Ujerumani, Fedha zitakazotumika kwaajili ya kugharamia maeneo Manne.

Kwa mujibu wa taarifa ya Wizara ya Mambo ya Nje ya Tanzania, Tsh. Bilioni 8.15 zitafadhili Programu ya Haki za Binadamu na Usawa wa Kijinsia, Tsh. Bilioni 8.15 zitaimarisha Upatikanaji wa Maji na Ustahimilivu wa Mabadiliko ya Tabianchi Zanzibar katika maeneo ya Mijini.

Kiasi kingine cha Tsh. Bilioni Bilioni 10.8 kitatumika katika Usimamizi Bora wa Fedha za Umma na Tsh. Bilioni 32. 6 zitaenda kwenye Programu ya uboreshaji wa huduma za Afya.
 
Haki za binadam tuishe hapo wangefunguja tu dhumuni LA huo mkwanjaaa ......sis wengine ilo fungu halituhusu......walengwa
Haki .za...magasho...
Hak...za wakoboaji....
 
Serikali kupitia Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha, Dkt. Natu El-maamry Mwamba, imetia saini ya Mkataba huo kupitia Shirikisho la Jamhuri ya Ujerumani, Fedha zitakazotumika kwaajili ya kugharamia maeneo Manne.

Kwa mujibu wa taarifa ya Wizara ya Mambo ya Nje ya Tanzania, Tsh. Bilioni 8.15 zitafadhili Programu ya Haki za Binadamu na Usawa wa Kijinsia, Tsh. Bilioni 8.15 zitaimarisha Upatikanaji wa Maji na Ustahimilivu wa Mabadiliko ya Tabianchi Zanzibar katika maeneo ya Mijini.

Kiasi kingine cha Tsh. Bilioni Bilioni 10.8 kitatumika katika Usimamizi Bora wa Fedha za Umma na Tsh. Bilioni 32. 6 zitaenda kwenye Programu ya uboreshaji wa huduma za Afya.
Kuna Afya,haki za binadamu na ufuatiliaji
 
Back
Top Bottom